
April 12, 2025


VYAMA VYA SIASA, SERIKALI NA TUME HURU YA UCHAGUZI WASAINI MAADILI YA UCHAGUZI
****** Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi ameshiriki katika utiaji saini wa Kanuni za Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za Mwaka 2025. Shughuli hiyo imefanyika katika Ofisi za Makao Makuu ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi NA. MWANDISHI WETU – DODOMA Vyama 18 vya…

Kizazi kinachukua msimamo – maswala ya ulimwengu
Mikopo: Umit Bektas/Reuters kupitia picha za Gallo Maoni na ines m pousadela (Montevideo, Uruguay) Ijumaa, Aprili 11, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Montevideo, Uruguay, Aprili 11 (IPS) – Katika moyo wa Istanbul, mabadiliko ya kushangaza yanaendelea. Kile kilichoanza kama maandamano ya wanafunzi kufuatia kukamatwa kwa kisiasa kwa Meya Ekrem İmamoğlu kumetokea ndani ya uhamasishaji…

TADED:HAKUNA CHAMA CHA KUZUIA UCHAGUZI MKUU USIFANYIKE
******** Na Mwandishi Wetu. Taasisi ya Demokrasia na Maendeleo Tanzania (TADED) imesema kuwa hakuna chama au taasisi ya kufanya kuzuia uchaguazi Mkuu ambao hufanyika kila baada ya miaka mitano. Akizungumza jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa TADED Chalila Kibuda amesema kuwa kwa mujubu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupiga kura ni haki…
ABSA BANK TANZANIA YAZINDUA ‘AKAUNTI YA MZAWA’ – SULUHISHO LA KIBUNIFU KWA WATANZANIA WAISHIO UGHAIBUNI
Na Mwandihi Wetu Absa Bank Tanzania imezindua rasmi Akaunti ya Mzawa, huduma kamili ya kibenki kwa Watanzania waishio, wanaofanya kazi na kusoma nje ya nchi. Uzinduzi huo umefanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam kwa njia ya mseto (“phygital”) ambapo wadau muhimu walihudhuria ana kwa ana huku wengine wengi kutoka ughaibuni…

SERIKALI YATOA WITO KWA DIASPORA KUWEKEZA NYUMBANI
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. David Cosato Chumi (Mb) kwa niaba ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo ametoa wito kwa Watanzania waishio nje ya nchi (diaspora) kuchangamkia fursa ya kuwekeza nyumbani, akisema kuwa mchango wao ni nguzo muhimu…

MAAFISA MAZINGIRA WAJENGEWA UWEZO WA UHIFADHI NA USIMAMIZI WA MAZINGIRA
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Serikali Kupitia ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira imepokea taarifa kutoka sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za mitaa juu ya uhifadhi na usimamiza wa mazingira, ambapo pamoja na hayo vwamejadili changamoto na fursa zinazopatikana katika sekta hiyo. Akizungumza Leo Jijini Dodoma wakati wa kufunga kikao kazi…

WAKAZI WA DABALO KUNUFAIKA NA UJENZI WA MAKAZI BORA
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Shirika lisilo la kiserikali la Habitat Humanity of Tanzania linatarajiwa kuwanufaisha wakazi wa kijiji cha Dabalo,kilichopo Halimashauri ya Wilaya ya Chamwino, Mkoani Dodoma Kwa mradi wa ujenzi wa Makazi bora, nafuu na endelevu unaotekelezwa na katika Mikoa ya Dar es Salaam na Dodoma Hatua hiyo imekuja baada ya shirika hilo…

MBETO:RAIS MWINYI AMEBEBQ KAPU LA FURAA ZA KIUCHUMI TOKA NG’AMBO
****** L Mbeto:Rais Dk Mwinyi amebeba kapu la fursa za kiuchumi toka ng’ambo Mwandishi wetu, Zanzibar Chama Cha Mapinduzi(CCM) kimesema kinajivunia ziara ya Rais wa Zanzibar Dk Hussein Ali Mwimyi aliyerejea toka Uingereza huku akiwa amelata mafanikio na matumaini ya kuendelea kufanyika kwa mageuzi ya kiuchumi na kimaendeleo. Pia CCM kimeitaja ziara hiyo ni ya…

DKT. GWAJIMA AHIMIZA SERIKALI ZA MITAA KUIMARISHA ULINZI NA USALAMA WA MTOTO
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Dkt. Dorothy Gwajima amesema serikali za mitaa ni kitovu cha utekelezaji wa mikakati ya ulinzi na usalama wa mtoto iwapo jamii itatoa taarifa kwa wakati kuhusu changamoto za kifamilia ambazo ni tishio kwa ustawi wa watoto Ili wataalamu wa ustawi wa jamii kwenye ofisi hizo waweze kushirikiana na familia au…