Bosi Wa CRDB Bank Foundation Ang’ara Tuzo Nigeria – Global Publishers

Last updated Apr 14, 2025 Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Bank Foundation, Tully Mwambapa Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Bank Foundation, Tully Mwambapa, ametajwa kuwa Kiongozi anayeongoza kwa uwezeshaji Barani Afrika katika hafla ya tuzo za kutambua wanawake mashuhuri Afrika (African Iconic Women Recognition Awards). Katika tukio hilo ambalo la kihistoria kwa Tanzania ambapo mbali ya…

Read More

WANACHAMA 50 ACT Wazalendo LINDI WATIMUKIA CCM.

Zaidi ya wanachama 50 kutoka katika chama cha ACT Wazalendo wamejiunga na chama Cha mapinduzi ( CCM) Wanachama hao wakiongozwa na aliyewahi kuwa diwani na mwenyekiti kupitia tiketi ya ACT Wazalendo, Said Kitunguli wamepokelewa na Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, CPA Amos Makalla wakati akizungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara…

Read More

Mount Uluguru Rally yawaita madereva Morogoro

MADEREVA wa mbio za magari watakuwa mkoani Morogoro wiki ya Pasaka kushiriki mashindano wa mbio fupi zitakazobeba bango la Mount Uluguru Rally Sprint. Mashindano haya yanatarajiwa kushirikisha madereva kutoka Dar es Salaam, Tanga, Arusha na Iringa na yatachezwa tarehe 21 mwezi Aprili mwaka huu kwa mujbu wa Mwenyekiti wa Chama Cha Mbio za Magari cha…

Read More

Ngorongoro Heroes yapangwa na wenyeji AFCON U20

Timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20 ‘Ngorongoro Heroes’ imepangwa kundi A katika fainali za Mataifa ya Afrika kwa vijana wa umri huo (AFCON U20) 2025 zitakazofanyika Misri baadaye mwezi huu. Kundi hilo A linaundwa na timu tano ambazo ni Misri, Zambia, Ngorongoro Heroes, Sierra Leone na Afrika Kusini. Ni kundi…

Read More

Wapinzani Ngorongoro Heroes hadharani leo

Timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20 ‘Ngorongoro Heroes’ leo itafahamu kundi itakalopangwa na wapinzani itakaocheza nao kwenye Fainali za Mataifa ya Afrika kwa vijana wa umri kama huo (AFCON) mwaka huu huko Misri. Fainali hizo zitafanyika kuanzia Aprili 27 hadi Mei 18 zikishirikisha timu 13 za taifa za vijana chini…

Read More

Haya yatatokea Chadema isiposhiriki uchaguzi 2025

Dar es Salaam. Sio swali tena kuhusu Chadema itashiriki au haitoshiriki uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu, kinachowatafakarisha wadau wa siasa kwa sasa ni mustakabali na hatima ya chama hicho katika mazingira ya kutoshiriki uchaguzi. Tafakuri hizo zinakuja baada ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kuweka wazi kuwa chama hicho hakitaruhusiwa kushiriki uchaguzi…

Read More