WANANCHI WAMKATAA RASMI GAMBO ARUSHA WADAI NI MWONGO SANA,WAMTAKA MAKONDA PIA WATISHIA KUTOSHIRIKI UCHAGUZI KISA KIVUKO!

WANANCHI wa Kata ya Sokon one,Jijini Arusha wameibua tafrani baada ya kujikusanya na kutishia kutopiga kura katika uchaguzi mkuu ujao wakiwa na madai ya kutaka kujengewa kivuko baada ya kuahidiwa kwa muda mrefu bila mafanikio. Aidha wananchi hao wakiongea kwa jaziba wamemkataa mbunge wao Mrisho Gambo wakidai hajawasaidia chochote na kuahidi kutomchagua tena iwapo atagombea …

Read More

UHURU USIO NA MIPAKA NI FUJO-PROF. KABUDI.

……………. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi  amesema  Vyombo vya habari vimechangia katika utekelezaji wa 4R za Rais  Dkt. Samia Suluhu Hassan  kwakuwa  ni sekta muhimu katika kupeleka ujumbe kwa jamii. Aidha, Prof. Kabudi  amewataka Wanahabari kufanyakazi kwa kuzingatia maadili , Uhuru  na taratibu za taaluma hiyo ili kupunguza  changamoto zinaweza…

Read More

TAHARUKI YATANDA MERERANI WANAAPOLO WAHOFIWA KUFIA MIGODINI ,FAMILIA ZAWEKA KAMBI LANGO KUU LA KUINGILIA KUTAKA NDUGU ZAO,MIGODI KADHAA YATAJWA KUHUSIKA!

 Na Joseph Ngilisho MERERANI  WACHIMBAJI watatu wadogo wa madini Tanzanite (Wanaapolo) Mererani ,wanahofiwa kufa kwa kufukiwa ndani ya migodi ya madini hayo katika mji mdogo wa  Mererani wilayani Simanjiro Mkoani Manyara,baada ya wazazi wao kutowaona kwa siku kadhaa na kuandamana katika lango kuu la Mererani wakitaka kupata taarifa za ndugu zao. Taarifa za kutoonekana kwa…

Read More

Fursa mpya za kiuchumi, ajira kwa wakazi wa Mbeya

Mbeya. Mradi wa upimaji ardhi katika maeneo ya Utengule na Nsalala uliokuwa chini ya Tanganyika Packers na TBC Iwambi mkoani Mbeya ambao ulianza Juni, 2024, unatarajia kukamilika Mei mwaka huu, huku ukitajwa kufungua fursa nyingi za kiuchumi na ajira. Pia kukamilika kwa mradi huo utafanya Mkoa wa Mbeya haswa Wilaya za Mbeya Vijijini na Mbeya…

Read More