UCHUKUAJI FOMU ZA UBUNGE CCM RASMI JUNE 28

 **** Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesema kwamba baada ya mashauriano na Wanachama wake, kutafakari na kupima kwa umakini ushauri huo, kimeamua kufanya marekebisho juu ya ratiba ya mchakato wa ndani wa uteuzi wa Wagombea wa nafasi ya ubunge, ujumbe wa Baraza la Wawakilishi na udiwani, kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025. Taarifa iliyotolewa…

Read More

Mgogoro wa misaada ya Gaza unazidi, mapigano ya Sudani Kusini, Sasisho la Mafuta ya Ecuador – Maswala ya Ulimwenguni

“Sasa imekuwa mwezi na nusu tangu vifaa vyovyote vimeruhusiwa kupitia njia za kuvuka kwenda Gaza,” msemaji wa UN Stéphane Dujarric aliwaambia waandishi wa habari katika mkutano wa Daily Media huko New York. Ocha Alisema karibu asilimia 70 ya kamba ya Gaza kwa sasa iko chini ya maagizo ya kuhamishwa au katika maeneo ya “No Go”….

Read More

RAIS SAMIA KUTOA TUZO ZA WANAHABARI

  .,……………. RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa tuzo za wanahabari zinazofahamika kama ‘Samia Kalamu Awards’ zinazohamasisha uandishi wa habari za maendeleo katika nyanja mbalimbali. Tuzo hizo ambazo zimeandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) zinatarajiwa kutolewa…

Read More

TMA YAPONGEZWA KWA UBORESHWAJI WA TAARIFA ZA HALI YA HEWA

………………….. Morogoro, Tarehe 15/04/2025 Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imepongezwa kwa uboreshwaji wa utabiri wa hali ya hewa na taarifa za tahadhari za matukio ya hali mbaya ya hewa nchini.  Hayo yamesemwa na Mhe. Dkt. Rozalia Rwegasira,  Kaimu Katibu Tawala Mkoa, sehemu ya uchumi na uzalishaji wa mkoa wa Morogoro wakati wa ufunguzi…

Read More

WAZIRI MKUU AMPONGEZA RAIS DKT. SAMIA MAFANIKIO MIAKA MINNE

……………………  ▪️Asema ameimarisha ukusanyaji wa mapato, utekelezaji wa miradi nchini ▪️Asema Miaka minne ya uongozi wake ilani imetekelezwa kwa kiwango kikubwa ▪️Asisitiza ilikuwa ni miaka minne ya kazi na uwajibikaji   WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amempongeza Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa mafanikio yaliyopatikana katika miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita ambapo imeshuhudiwa…

Read More

KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

Mkuu wa wilaya ya Chato,Louis Peter Bura,akimtua ndoo mama kichwani kama ishara ya utekelezaji wa agizo la Rais Samia Suluhu Hassan ……………………… Na Daniel Limbe,Chato WAKAZI wa Kijiji cha Kinsabe kata ya Iparamasa wilayani Chato mkoani Geita wameipongeza mamlaka ya usambazaji maji na Usafi wa Mazingira vijijini (Ruwasa) baada ya kuwanusuru na adha ya kutumia…

Read More

Bunge lapitisha bajeti ofisi ya Waziri Mkuu

Dodoma. Bunge limepitisha bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu, taasisi zake na Mfuko wa Bunge kwa mwaka 2025/26 huku Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisema Serikali itaendelea kuhakikisha kuna hali ya usalama, amani na utulivu kipindi chote cha uchaguzi. Ofisi hizo zimepitishiwa Sh782.08 bilioni katika mwaka huo wa fedha. Hotuba hiyo ilichangiwa na wabunge 103 lakini…

Read More