Yanga, Inonga kuna jambo! iko hivi

KIKOSI cha Yanga kimeanza maandalizi ya mchezo wa ugenini wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Fountain Gate, lakini kukiwa na taarifa kwamba mabosi wa klabu hiyo wameanza hesabu za kumrejesha nchini beki wa zamani wa Simba, Henock Inonga anayekipiga kwa sasa FAR Rabat ya Morocco. Inonga alikuwa kwenye hesabu za Yanga hata kabla ya kutua…

Read More

Maagizo ya Rais Mwinyi kwa mabalozi waliokwenda kumuaga

Dar es Salaam. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amewasisitiza mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika mataifa ya nje kuzingatia diplomasia ya uchumi na fursa za uwekezaji zilizopo. Rais Mwinyi amesema hayo leo Aprili 16, 2025 Ikulu, Zanzibar alipozungumza na mabalozi wa Tanzania katika mataifa ya Rwanda, Zimbabwe, Sweden na Msumbiji waliokwenda kumuaga kabla ya kwenda kwenye…

Read More

Makalla: CCM haijiweki yenyewe madarakani

Newala. Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema dhana ya baadhi ya watu vikiwamo vyama vya siasa kudhani kuwa chama chake kinajiweka chenyewe madarakani ni potofu. Amesisitiza kwamba ushindi wa CCM mara zote hutokana na kazizinazofanywa na viongozi wake wa chama na Serikali. Akizungumza leo…

Read More

Warioba ajitosa kusaka suluhu INEC, Chadema

Dar es Salaam. Jawabu la swali kuhusu mwafaka kati ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, linatafutwa chini ya usimamizi wa Jaji Joseph Warioba na wazee wenzake. Hatua hiyo imekuja baada ya Chadema kutohudhuria kikao wala kusaini kanuni hizo ilipoalikwa pamoja…

Read More