***** Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo April 18,2025 amefanya mkutano na waandishi wa Habari katika ukumbi wa Hotel ya
Day: April 18, 2025

Ikiwa imesalia siku moja kabla ya mechi ya nusu fainali ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Simba na Stellenbosch, hali ya Zanzibar

Kwa mara nyingine macho na masikio ya wapenda soka yataelekezwa Zanzibar, Jumapili hii, pale Simba itakapoumana na Stellenbosch ya Afrika Kusini katika mchezo wa nusu

Mhifadhi Mkuu Mambo ya Kale na Mkuu wa Kanda ya Magharibi Makumbusho na Malikale anayesimamia uhifadhi na uendelezaji maeneo ya kusini mwa Tanzania Lindi na

Dar es Salaam/mikoani. Kilio cha haki katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba, 2025, ni miongoni mwa mambo yaliyochukua nafasi kubwa kutoka kwa viongozi wa dini

Same. Jimbo Katoliki la Same limeipunguzia hadhi Parokia ya Ugweno, iliyoko wilayani Same mkoani Kilimanjaro na kuifanya kuwa kigango. Hatua hiyo imechukuliwa baada ya kubainika

Dar es Salaam. Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), kinatarajia kuanzisha shahada nyingine itakayojikita katika masomo ya Kichina na Kiswahili lengo likiwa kuongeza wigo

Dar es Salaam. Jumla ya Sh306 milioni zinatarajiwa kulipwa na Shirika la Masoko Kariakoo kwa madeni ya waliokuwa watumishi wa Soko la Kariakoo. Taarifa hiyo

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema ujenzi wa daraja la Jangwani litakalokuwa na urefu wa mita 390 unatarajiwa

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)-Bara, Stephen Wasira, amesema ni muhimu kwa wananchi kutambua kuwa ndani ya amani kuna haki, hivyo