Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: April 18, 2025

  • Home
  • 2025
  • April
  • 18
Habari

CHALAMILA DAR NI SALAMA AELEZA MAFANIKIO NA MIPANGO YA MAENDELEO

April 18, 2025 Admin

***** Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo April 18,2025 amefanya mkutano na waandishi wa Habari katika ukumbi wa Hotel ya

Read More
Michezo

Nyumba za wageni zaanza kujaa Zbar kabla ya Simba, Stellenbosch kukipiga

April 18, 2025 Admin

Ikiwa imesalia siku moja kabla ya mechi ya nusu fainali ya kwanza ya  Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Simba na Stellenbosch, hali ya Zanzibar

Read More
Michezo

Straika Stellenbosch aingiwa ubaridi, adai Simba ni hatari

April 18, 2025 Admin

Kwa mara nyingine macho na masikio ya wapenda soka yataelekezwa Zanzibar, Jumapili hii, pale Simba  itakapoumana na Stellenbosch ya Afrika Kusini katika mchezo wa nusu

Read More
Habari

JAMII YATAKIWA KUTEMBELEA MAENEO YA MALIKALE

April 18, 2025 Admin

Mhifadhi Mkuu Mambo ya Kale na Mkuu wa Kanda ya Magharibi Makumbusho na Malikale anayesimamia uhifadhi na uendelezaji maeneo ya kusini mwa Tanzania Lindi na

Read More
Michezo

Maaskofu watema nondo kuelekea uchaguzi mkuu

April 18, 2025 Admin

Dar es Salaam/mikoani. Kilio cha haki katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba, 2025, ni miongoni mwa mambo yaliyochukua nafasi kubwa kutoka kwa viongozi wa dini

Read More
Habari

Askofu aishusha hadhi Parokia ya Ugweno, yarudi kuwa kigango

April 18, 2025 Admin

Same. Jimbo Katoliki la Same limeipunguzia hadhi Parokia ya Ugweno, iliyoko wilayani Same mkoani Kilimanjaro na kuifanya kuwa kigango. Hatua hiyo imechukuliwa baada ya kubainika

Read More
Habari

Shahada masomo ya kichina sasa kufundishwa UDSM

April 18, 2025 Admin

Dar es Salaam. Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), kinatarajia kuanzisha shahada nyingine itakayojikita katika masomo ya Kichina na Kiswahili lengo likiwa kuongeza wigo

Read More
Habari

Waliostaafu Soko la Kariakoo kulipwa Sh306 milioni

April 18, 2025 Admin

Dar es Salaam. Jumla ya Sh306 milioni zinatarajiwa kulipwa na Shirika la Masoko Kariakoo  kwa madeni ya waliokuwa watumishi wa Soko la Kariakoo. Taarifa hiyo

Read More
Habari

Ujenzi daraja Jangwani kuanza rasmi Mei

April 18, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema ujenzi wa daraja la Jangwani litakalokuwa na urefu wa mita 390 unatarajiwa

Read More
Habari

Wasira na majibu wanaohoji CCM ‘kuhubiri’ amani bila vitendo

April 18, 2025 Admin

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)-Bara, Stephen Wasira, amesema ni muhimu kwa wananchi kutambua kuwa ndani ya amani kuna haki, hivyo

Read More

Posts pagination

1 2 … 8 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.