
CHALAMILA DAR NI SALAMA AELEZA MAFANIKIO NA MIPANGO YA MAENDELEO
***** Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo April 18,2025 amefanya mkutano na waandishi wa Habari katika ukumbi wa Hotel ya Johari Rotana Jijini Dar es Salaam katika mkutano huo amefafanua mambo mbalimbali ikiwemo usalama wa Mkoa, jumbe zinazozagaa juu ya mafuriko na hatua zinazochukuliwa na Serikali, Kasi ya ulipaji kodi,…