Pamoja na kutanguliwa mabao mawili, Tanzania Prisons imetumia dakika 15 kufanya ‘comeback’ na kuifumua JKT Tanzania mabao 3-2 kuendeleza matumaini ya kubaki salama Ligi Kuu.

Pamoja na kutanguliwa mabao mawili, Tanzania Prisons imetumia dakika 15 kufanya ‘comeback’ na kuifumua JKT Tanzania mabao 3-2 kuendeleza matumaini ya kubaki salama Ligi Kuu.