***** Na WAF – Songea, Ruvuma Wananchi zaidi ya 900 wamepatiwa huduma za uchunguzi na matibabu ya ugonjwa wa saratani bila malipo katika Hospitali ya
Day: April 19, 2025

Mwanza. Mwenyekiti Mwenza wa Kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini Mkoa wa Mwanza, Sheikh Hassan Kabeke, amesema matumizi ya lugha za matusi na kudhalilisha

Dar es Salaam. Aliyekuwa Mbunge wa Moshi Vijijini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Anthony Komu, amerejea kwenye chama hicho baada ya kuhamia NCCR-Mageuzi.

Mbeya. Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya, Dk Yesaya Mwasubila amesema hayo jana Aprili 18, 2025, baada ya Spika wa Bunge na Mbunge

Dar es Salaam. Ikiwa zimesalia saa chache kabla ya Wakristo wa Tanzania kuungana na mataifa mengine kusherehekea Sikukuu ya Pasaka, wafanyabiashara walalalimia kukosa wateja. Sikukuu

********** Na Sixmund Begashe Timu ya Mpira wa Pete ya Wanawake ya Wizara ya Maliasili na Utalii imeifunga vikali Timu ya Wanawake ya Mahakama kwa

Bwana Yesu asifiwe! Leo tukiwa tunaadhimisha Sikukuu ya Pasaka inayomaanisha kufufuka kwa Bwana Yesu kutoka kaburini, natamani uyafahamu mambo ya msingi kuhusiana na ufufuko huu

Na Kadama Malunde – Shinyanga Waandishi wa habari katika Manispaa ya Shinyanga kupitia Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga (Shinyanga Press Club –

Mwananchi imezungumza na Mjumbe wa Baraza la Uongozi Taifa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya CUF wilayani Handeni, Masoud Mhina amesema wamesikia taarifa za

Kocha wa Stellenbosch FC, Steve Barker, amesema Simba SC ni moja ya timu hatari zaidi kwenye mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika, akisisitiza kuwa ubora