Anthony Komu arejea Chadema, Heche amtambulisha rasmi

Dar es Salaam. Aliyekuwa Mbunge wa Moshi Vijijini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Anthony Komu, amerejea kwenye chama hicho baada ya kuhamia NCCR-Mageuzi. Itakumbukwa kuwa Komu alikuwa miongoni mwa makada wa Chadema walioingia kwenye mzozo, na kusababisha ahojiwe kabla ya kujiondoa. Komu ametambulishwa leo, Aprili 19, 2025, na Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, John…

Read More

Pasaka kavu kwa wafanyabiashara | Mwananchi

Dar es Salaam. Ikiwa zimesalia saa chache kabla ya Wakristo wa Tanzania kuungana na mataifa mengine kusherehekea Sikukuu ya Pasaka, wafanyabiashara walalalimia kukosa wateja. Sikukuu hii ya kusherehekea kufufuka kwa Yesu Kristo  hufanyika baada ya kumalizika kipindi cha majuma sita ya Kwaresma.Kufuatia sikukuu hiyo ya Pasaka watu hufanya maandalizi ya kusherekea siku hiyo kwa kununua…

Read More

MALIASILI SC YAIHUKUMU MAHAKAMA 28–18

********** Na Sixmund Begashe Timu ya Mpira wa Pete ya Wanawake ya Wizara ya Maliasili na Utalii imeifunga vikali Timu ya Wanawake ya Mahakama kwa mabao 28 kwa 18 katika mchezo uliochezwa leo kwenye uwanja wa michezo wa VETA, mkoani Singida. Akizungumza mara baada ya mchezo huo uliovutia mashabiki wengi, Bi. Getrude Kassara, Mratibu wa…

Read More

Kufufuka Yesu ndio msingi wa imani ya Kikristo

Bwana Yesu asifiwe! Leo tukiwa tunaadhimisha Sikukuu ya Pasaka inayomaanisha kufufuka kwa Bwana Yesu kutoka kaburini, natamani uyafahamu mambo ya msingi kuhusiana na ufufuko huu ili kumwezesha kila mmoja kufaidika na uhalisia wa tukio hili. Ukristo umezaliwa kupitia Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye ni mwanzilishi pekee wa imani ambaye alikufa na hakubaki kaburini, maana alifufuka…

Read More

Kocha Stellenbosch: Simba ni timu hatari CAF

Kocha wa Stellenbosch FC, Steve Barker, amesema Simba SC ni moja ya timu hatari zaidi kwenye mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika, akisisitiza kuwa ubora wa Wekundu wa Msimbazi hauishii kwa kikosi cha kwanza pekee, bali unakwenda hadi wachezaji wa akiba. Jumapili hii, Simba itakuwa mwenyeji wa Stellenbosch katika nusu fainali ya mkondo wa kwanza…

Read More