Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: April 21, 2025

  • Home
  • 2025
  • April
  • 21
Michezo

Coastal Union yaishusha KenGold, yatangulia Championship

April 21, 2025 Admin

Ken Gold imeshuka rasmi Ligi Kuu Bara baada ya kupoteza mchezo wake wa leo dhidi ya Coastal Union kwa mabao 2-1 uliopigwa Uwanja wa Mkwakwani

Read More
Michezo

Mo Dewji amkingia kifua Ahoua, aitaja Stellenbosch

April 21, 2025 Admin

SIKU moja baada ya kiungo wa Simba, Charles Ahoua kukosa nafasi ya wazi ambayo ingeisaidia timu hiyo kushinda mabao mawili dhidi ya Stellenbosch ya Afrika

Read More
Habari

MATUKIO KATIKA PICHA NYUMBANI KWA MAREHEMU

April 21, 2025 Admin

Baadhi ya Viongozi kutoka taasisi mbalimbali pamoja na waliowahi kushinda taji la Miss Tanzania kwa nyakati tofauti na waombolezaji wakiwa wamewasili nyumbani kwa aliyekuwa Mratibu

Read More
Habari

Walivyoagwa sita waliofariki ajali ya ambulensi, toyo Mafinga

April 21, 2025 Admin

Mufindi. Miili ya watu sita kati ya wanane waliopoteza maisha katika ajali iliyohusisha gari la wagonjwa (ambulensi) na pikipiki ya miguu mitatu (Guta) imeagwa leo

Read More
Habari

Mwanafunzi ajinyonga bwenini, Polisi yaanza uchunguzi

April 21, 2025 Admin

Uganda. Mwanafunzi wa kidato cha sita katika Shule ya Sekondari Solberg, iliyopo Manispaa ya Kabale nchini Uganda, Nikita Kiconco (21) amefariki dunia baada ya kujinyonga

Read More
Habari

CILAO YAMLIMA BARUA KALI JAJI MKUU,YATAKA MAJIBU KAULI YA JESHI LA POLISI KUINGIKIA MHIMILI MWINGINE!

April 21, 2025 Admin

CILAO Yamtaka Jaji Mkuu: “Linda kwa Wivu Mkuu Uhuru na Mamlaka ya Mahakama” By Ngilisho Tv-ARUSHA  Shirika lisilo la kiserikali la Center for International Law

Read More
Habari

Hivi ndivyo dunia inavyomlilia Papa Francis

April 21, 2025 Admin

Dar es Salaam. Viongozi mbalimbali pamoja na watu mashuhuri duniani wameendelea kuomboleza msiba wa Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki, Papa Francis aliyefariki dunia leo Jumatatu

Read More
Michezo

Simbu ang’ara, ashika nafasi ya pili Boston Marathon

April 21, 2025 Admin

Mwanariadha wa Kimataifa wa Tanzania Alphonce Simbu ameng’ara katika mbio za Boston Marathon ambazo zimemalizika muda mchache uliopita nchini Marekani baada ya kushika nafasi ya

Read More
Michezo

Yanga yashinda ikiweka rekodi mpya

April 21, 2025 Admin

MABINGWA watetezi, Yanga wameendelea kunyatia ubingwa wa Ligi Kuu Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Fountain Gate, katika mchezo uliopigwa

Read More
Habari

Mawaziri wanne kubanwa bungeni | Mwananchi

April 21, 2025 Admin

Dodoma. Hotuba za bajeti za Wizara ya Utumishi na Utawala bora, Mipango na uwekezaji, Muungano na Mazingira zinangojewa kutokana na kuhusisha maeneo nyeti ikiwamo ajira,

Read More

Posts pagination

1 2 … 6 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.