Mo Dewji amkingia kifua Ahoua, aitaja Stellenbosch

SIKU moja baada ya kiungo wa Simba, Charles Ahoua kukosa nafasi ya wazi ambayo ingeisaidia timu hiyo kushinda mabao mawili dhidi ya Stellenbosch ya Afrika Kusini kwenye uwanja wa nyumbani, mwekezaji wa timu hiyo, Mohammed Dewji ‘Mo Dewji’ amemkingia kifua. Simba ilicheza na Stellenbosch jana katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika…

Read More

MATUKIO KATIKA PICHA NYUMBANI KWA MAREHEMU

Baadhi ya Viongozi kutoka taasisi mbalimbali pamoja na waliowahi kushinda taji la Miss Tanzania kwa nyakati tofauti na waombolezaji wakiwa wamewasili nyumbani kwa aliyekuwa Mratibu wa Mashindano ya Miss Tanzania Hashim Lundenga. Balozi wa Tanzania nchini Swedeni Mheshimiwa Mobhare Matinyi akiwasili na kusaini kitabu cha Maombolezo nyumbani kwa Marehemu Hashim Lundenga leo Aprili 21,2025 Mbweni…

Read More

Mwanafunzi ajinyonga bwenini, Polisi yaanza uchunguzi

Uganda. Mwanafunzi wa kidato cha sita katika Shule ya Sekondari Solberg, iliyopo Manispaa ya Kabale nchini Uganda, Nikita Kiconco (21) amefariki dunia baada ya kujinyonga kwa kutumia kamba ndani ya bweni la shule hiyo. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Polisi wa eneo la Kigezi, Elly Maate mwili wa Kiconco tayari umepelekwa Hospitali…

Read More

CILAO YAMLIMA BARUA KALI JAJI MKUU,YATAKA MAJIBU KAULI YA JESHI LA POLISI KUINGIKIA MHIMILI MWINGINE!

CILAO Yamtaka Jaji Mkuu: “Linda kwa Wivu Mkuu Uhuru na Mamlaka ya Mahakama” By Ngilisho Tv-ARUSHA  Shirika lisilo la kiserikali la Center for International Law Advocacy and Outreach (CILAO), limemuandikia barua Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Hamis Juma, likimtaka kuchukua hatua za kulinda uhuru wa Mahakama dhidi ya kile walichokiita “kauli tata na ya…

Read More

Hivi ndivyo dunia inavyomlilia Papa Francis

Dar es Salaam. Viongozi mbalimbali pamoja na watu mashuhuri duniani wameendelea kuomboleza msiba wa Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki, Papa Francis aliyefariki dunia leo Jumatatu ya Pasaka, Aprili 21, 2025 akiwa na umri wa miaka 88. Kwa mujibu wa mtandao wa kijamii wa Vatican News, Papa Francis amefariki dunia akiwa katika makazi yake kwenye nyumba…

Read More

Simbu ang’ara, ashika nafasi ya pili Boston Marathon

Mwanariadha wa Kimataifa wa Tanzania Alphonce Simbu ameng’ara katika mbio za Boston Marathon ambazo zimemalizika muda mchache uliopita nchini Marekani baada ya kushika nafasi ya pili. Simbu anakuwa Mtanzania wa pili kumaliza nafasi ya pili katika mbio hizo baada ya Nyota mwingine Gabriel Geay kufanya hivyo mwaka 2023. Nyota huyo kutoka Jeshi la Wananchi wa…

Read More

Yanga yashinda ikiweka rekodi mpya

MABINGWA watetezi, Yanga wameendelea kunyatia ubingwa wa Ligi Kuu Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Fountain Gate, katika mchezo uliopigwa Jumatatu hii kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani Manyara huku ushindi huo uliofanya Yanga kufikisha pointi 70, umeweka rekodi tatu ndani ya kikosi hicho. Rekodi ya kwanza inamuhusu…

Read More

Mawaziri wanne kubanwa bungeni | Mwananchi

Dodoma. Hotuba za bajeti za Wizara ya Utumishi na Utawala bora, Mipango na uwekezaji, Muungano na Mazingira zinangojewa kutokana na kuhusisha maeneo nyeti ikiwamo ajira, uwekezaji pamoja na kilio cha kupanda kwa madaraja na malipo ya wastaafu. Kabla ya hizo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed…

Read More