Ken Gold imeshuka rasmi Ligi Kuu Bara baada ya kupoteza mchezo wake wa leo dhidi ya Coastal Union kwa mabao 2-1 uliopigwa Uwanja wa Mkwakwani
Day: April 21, 2025

SIKU moja baada ya kiungo wa Simba, Charles Ahoua kukosa nafasi ya wazi ambayo ingeisaidia timu hiyo kushinda mabao mawili dhidi ya Stellenbosch ya Afrika

Baadhi ya Viongozi kutoka taasisi mbalimbali pamoja na waliowahi kushinda taji la Miss Tanzania kwa nyakati tofauti na waombolezaji wakiwa wamewasili nyumbani kwa aliyekuwa Mratibu

Mufindi. Miili ya watu sita kati ya wanane waliopoteza maisha katika ajali iliyohusisha gari la wagonjwa (ambulensi) na pikipiki ya miguu mitatu (Guta) imeagwa leo

Uganda. Mwanafunzi wa kidato cha sita katika Shule ya Sekondari Solberg, iliyopo Manispaa ya Kabale nchini Uganda, Nikita Kiconco (21) amefariki dunia baada ya kujinyonga

CILAO Yamtaka Jaji Mkuu: “Linda kwa Wivu Mkuu Uhuru na Mamlaka ya Mahakama” By Ngilisho Tv-ARUSHA Shirika lisilo la kiserikali la Center for International Law

Dar es Salaam. Viongozi mbalimbali pamoja na watu mashuhuri duniani wameendelea kuomboleza msiba wa Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki, Papa Francis aliyefariki dunia leo Jumatatu

Mwanariadha wa Kimataifa wa Tanzania Alphonce Simbu ameng’ara katika mbio za Boston Marathon ambazo zimemalizika muda mchache uliopita nchini Marekani baada ya kushika nafasi ya

MABINGWA watetezi, Yanga wameendelea kunyatia ubingwa wa Ligi Kuu Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Fountain Gate, katika mchezo uliopigwa

Dodoma. Hotuba za bajeti za Wizara ya Utumishi na Utawala bora, Mipango na uwekezaji, Muungano na Mazingira zinangojewa kutokana na kuhusisha maeneo nyeti ikiwamo ajira,