Polisi yathibitisha kumuhoji Mwijaku, wanafunzi waliomshambulia mwenzao

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limethibitisha kuwahoji Mwemba Burton Mwemba, maarufu Mwijaku na wanafunzi wanne wanaidaiwa kushiriki katika tukio la kumshambulia na kumdhalilisha Magnificat Barnabas Kimario ambaye ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Ardhi. Katika taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Aprili 24, 2025, polisi wameeleza kuwa  hadi sasa watu wanne  wamekamatwa na…

Read More

Polisi yawaachia Heche, Mnyika na wafuasi wengine Chadema

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha kuwakamata na baadaye kuwaachia kwa dhamana viongozi na wafuasi watano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wanaodaiwa kujihusisha na mkusanyiko katika eneo la Mahakama ya Kisutu wakati wa kusikilizwa  kesi inayomkabili Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu. Tukio hilo limetokea mapema…

Read More

Waziri Silaa ataka vianzishwe vilabu vya kidijitali

Dar es Salaam. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa amezitaka shule na vyuo nchini kuanzisha vilabu vya kidijitali vitakavyosaidia kuongeza ujuzi wa teknolojia kwa wanafunzi. Silaa amesema hayo leo Aprili 24, 2025 jijini Dar es Salaam kwenye kongamano kuadhimisha siku ya kimataifa ya wasichana katika Tehama lililoandaliwa na Mamlaka ya Mawasiliano…

Read More

Mbunge akosoa elimu vyuoni, ahoji taaluma zisizo na soko

Dodoma. Mbunge wa kuteuliwa, Shamsi Vuai Nahodha amesema mfumo wa elimu ya vyuo vikuu nchini,  una kasoro na bila kuzitafutia ufumbuzi hajui Taifa linaelekea wapi. Amesema kuendelea kuamini kuwa elimu ya chuo kikuu ndiyo kila kitu, ni kuchelewa kwani kuna wengine wanaosoma shahada za kama Kiswahili, lakini  wakikutana kwenye midahalo na wenzao ndani ya Jumuiya…

Read More

KESI YA LISSU KUENDELEA KUSIKILIZWA KWA NJIA YA MTANDAO: MAHAKAMA

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imesema hakuna sheria yoyote iliyokiukwa wala kuvunjwa kwa kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu kusikilizwa kwa njia ya mtandao. “Kesi hii itaendelea kusikilizwa kwa njia ya mtandao ‘video conference’ hadi pale Mahakama itakapoamua yenyewe” kwani sheria ya usikilizwaji wa kesi kwa njia…

Read More