Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limethibitisha kuwahoji Mwemba Burton Mwemba, maarufu Mwijaku na wanafunzi wanne wanaidaiwa kushiriki katika tukio la kumshambulia
Day: April 24, 2025

Chama cha Madaktari wa Mifugo Tanzania (TVA) kimeandaa Maadhimisho ya Siku ya Tiba ya Mifugo Duniani kwa mwaka 2025, ambayo yatafanyika kwa siku tatu kuanzia

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha kuwakamata na baadaye kuwaachia kwa dhamana viongozi na wafuasi watano wa Chama

Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akizungumza kwa njia ya mtandao na waajiriwa wapya wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakati wa mafunzo

Maoni Na Isabel Ortiz, Sakiko Fukuda-Parr (New York) Alhamisi, Aprili 24, 2025 Huduma ya waandishi wa habari New York, Aprili 24 (IPS) – The Mkutano

Dar es Salaam. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa amezitaka shule na vyuo nchini kuanzisha vilabu vya kidijitali vitakavyosaidia kuongeza ujuzi

Na Said Mwishehe,Michuzi TV- Kongwa MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira, amesema maana ya demokrasia sio kuhamasisha vurugu na uvunjitu

Dodoma. Mbunge wa kuteuliwa, Shamsi Vuai Nahodha amesema mfumo wa elimu ya vyuo vikuu nchini, una kasoro na bila kuzitafutia ufumbuzi hajui Taifa linaelekea wapi.

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imesema hakuna sheria yoyote iliyokiukwa wala kuvunjwa kwa kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)