Samia: 4R zisiwe kigezo kuvunja sheria

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema kutekelezwa falsafa ya 4R kunakwenda sambamba na kuzingatiwa kwa Katiba na sheria za nchi, kamwe haiwezi kuwa kisingizio cha kuvunja sheria au kujenga mazingira yanayohatarisha amani, usalama na utulivu wa nchi. Amesema hayo leo Ijumaa Aprili 25, 2025 alipohutubia Taifa katika maadhimisho ya miaka 61 ya Muungano…

Read More

KIONGOZI CHADEMA AINANGA KAULI MBIU YA KUPINGA UCHAGUZI, AKISEMA CHAMA CHA HARAKATI KINAJIANDAA KUFA KISIASA

::::::: Kiongozi mwandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kutokea Tarime, mkoani Mara, Mohania Joseph Peter, amekianga chama hicho, akisema ni cha kiharakati na hakiwezi kufanya siasa. Ndugu Mohania, ambaye amewahi kushika nafasi mbalimbali katika chama hicho ngazi ya mkoa, katika Baraza la Vijana wa Chama hicho (Bavicha), kabla ya kuwa msaidizi katika ofisi…

Read More