
SERIKALI IMEWEKA MIKAKATI YA KUIMARISHA BANDARI
Mwenyekiti wa Bodi ya TASAC Nah.Mussa Mandia akimkabidhi zawadi ya TASAC Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kagera Erasto Sima wakati wa Bodi hiyo ilipotembelea Ofisi ya Mkuu wa Mkoa katika ziara ya Bodi mkoani humo. Na Mwandishi wetu ,Muleba Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Uwakala Meli Tanzania (TASAC), Nahodha Mussa Mandia amesema…