Day: April 28, 2025

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Maliasili na Utalii Bi. Nteghenjwa Osea amekabidhiwa rasmi ofisi na aliekuwa Mkuu wa Kitengo hicho Bw. John

Rais Samia Suluhu Hassan, ametoa ahadi ya Sh30 milioni kwa nyota wa Simba kwenye kila bao litakalofungwa kwenye mechi ya fainali. Simba inatarajia kucheza fainali

MAMIA ya mashabiki wa Simba wamejitokeza katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), usiku huu kuwapokea wachezaji waliorejea kutoka Afrika Kusini baada

Dar es Salaam. Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Camillus Wambura amemshukuru Amiri Jeshi Mkuu, Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa magari mapya na

Dar es Salaam. Serikali imejibu hoja za mawakili wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu, kupinga kesi inayomkabili ya kuchapisha taarifa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea cheti cha umiliki wa Hisa zake kwenye Benki ya Ushirika Tanzania katika

******** Na. WAF, Tabora Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama ameiasa jamii kuwa mstari wa mbele kuhakikisha watoto wote wanaostahili kupata chanjo wanapata ili kujikinga

***** Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia Mwenyekiti wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kina masikio mapana ya kumsikiliza Mwananchi wa hali yoyote bila

Dar es Salaam. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amedai baada ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 2025, Chama