
April 28, 2025


MAPEPELE AHAMISHIWA TAMISEMI NA HOSEA MALIASILI
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Maliasili na Utalii Bi. Nteghenjwa Osea amekabidhiwa rasmi ofisi na aliekuwa Mkuu wa Kitengo hicho Bw. John Mapepele ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI, ili kuendelea kuwatumiaka wananchi kwenye ofisi yake…

Rais Samia awaahidi Simba Sh30 milioni kila bao fainali CAFCC
Rais Samia Suluhu Hassan, ametoa ahadi ya Sh30 milioni kwa nyota wa Simba kwenye kila bao litakalofungwa kwenye mechi ya fainali. Simba inatarajia kucheza fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane baada ya kutinga hatua hiyo kwa kuifunga Stellenbosch ya Afrika Kusini kwa ushindi wa jumla wa bao 1-0. Msemaji mkuu wa…

Mamia waipokea Simba uwanja wa ndege mvua ikinyesha
MAMIA ya mashabiki wa Simba wamejitokeza katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), usiku huu kuwapokea wachezaji waliorejea kutoka Afrika Kusini baada ya kuandika historia mpya kwenye soka la Afrika. Kikosi cha Simba kimerudi nchini kikiwa na furaha kubwa baada ya kufuzu kwa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa mara ya…

Serikali yawapa magari ya kisasa Polisi, IGP Wambura asema…
Dar es Salaam. Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Camillus Wambura amemshukuru Amiri Jeshi Mkuu, Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa magari mapya na ya kisasa kwa ajili ya matumizi ya operesheni mbalimbali za jeshi hilo. IGP Wambura ametoa pongezi hizo leo Jumatatu, Aprili 28, 2025, jijini Dar es Salaam alipofanya ukaguzi wa magari…

Serikali ilivyojibu hoja za Lissu kupinga kesi yake kusikilizwa mtandaoni
Dar es Salaam. Serikali imejibu hoja za mawakili wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu, kupinga kesi inayomkabili ya kuchapisha taarifa za uongo katika mtandao wa Youtube kusikilizwa kwa njia ya mtandao. Lissu alipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam kwa mara ya kwanza na kusomewa…

RAIS SAMIA APOKEA CHETI CHA UMILIKI WA HISA ZAKE
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea cheti cha umiliki wa Hisa zake kwenye Benki ya Ushirika Tanzania katika Ukumbi w a Mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 28 Aprili, 2025.

MTOTO ASIPOPATA CHANJO HATARINI KUPATA MAAMBUKIZI YA MAGONJWA -MHAGAMA
******** Na. WAF, Tabora Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama ameiasa jamii kuwa mstari wa mbele kuhakikisha watoto wote wanaostahili kupata chanjo wanapata ili kujikinga na magonjwa kwakuwa mtoto asipopata chanjo anakuwa hatarini kupata maambukizi ya magonjwa. Waziri Mhagama ameyasema hayo leo Aprili 28, 2025 Mkoani Tabora wakati akizindua Maadhimisho ya Wiki ya Chanjo Kitaifa…

RAIS SAMIA YUPO KAZINI – MKURUGENZI MIGERA
***** Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia Mwenyekiti wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kina masikio mapana ya kumsikiliza Mwananchi wa hali yoyote bila kubagua daraja la Elimu aliyonayo. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Taasisi isiyo ya Kiserikali ya Jamii Kwanza initiative (JKI) na Kada ya chama hicho, Daniel Migera amesema Chama hicho kimeweka…

Makalla: Chadema kubaki jukwaa la harakati, Golugwa ajibu mapigo
Dar es Salaam. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amedai baada ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 2025, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kitabakia jukwaa la harakati sio chama cha siasa. Amesema lengo la chama cha siasa ni kushika dola na katiba ya Chadema ibara ya nne inaeleza…