Wakazi wa Malinyi waiomba Serikali kuboresha miundombinu ya barabara ili kufikia masoko ya mazao yao

Farida Mangube, Morogoro . Wakazi wa Wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro wameiomba serikali kuboresha miundombinu ya barabara ikiwemo madaraja ili kuwawezesha kufikia masoko kwa urahisi na kuuza mazao yao kwa bei ya soko. Wakazi hao, ambao wengi wao ni wakulima wa mazao ya biashara na chakula wanasema kukosekana kwa barabara za uhakika kumeendelea kuwafanya wategemee…

Read More

SERIKALI ITAENDELEA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYABIASHA NA WAWEKEZAJI NCHINI

  Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mhe. Stanslaus Nyongo (Mb,) amesema kuwa Serikali itaendelea kukaa na Wafanyabiashara na Wawekezaji nchini kujadiliana namna bora ya kutatua changamoto za wafanyabiashara ili kuongeza wigo wa ukusanyaji wa kodi. Mhe. Nyongo ameyasema hayo  aliposhiriki mdahalo katika Kongamano la Kodi na Uwekezaji lililofanyika JNICC –…

Read More

Haya ndio mashirika matatu yanayoongoza kwa hasara

Moshi. Mashirika ya Umma ya Kibiashahara 12 kati ya 52, yamebainika kupata hasara kwa miaka mitatu mfululizo, huku Shirika la Reli Tanzania (TRC), likiongoza na kufuatiwa na Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL). Hii ni kwa mujibu wa Ripoti Kuu ya Mwaka ya Ukaguzi wa Mashirika ya Umma kwa mwaka…

Read More

Ada Tadea yatoa neno uboreshaji daftari la wapiga kura

Kahama. Kazi ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura awamu ya pili katika Jimbo la Kahama Mjini, mkoani Shinyanga, inatarajiwa kuanza rasmi Mei Mosi na kukamilika Mei 7, 2025. Kwa mujibu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), jumla ya wapiga kura 262,194 wanatarajiwa kuandikishwa katika vituo 39 vilivyoidhinishwa kwenye ngazi ya kata…

Read More

Warioba awasha moto mwafaka wa INEC, Chadema

Dar es Salaam. Jawabu la swali kuhusu mwafaka kati ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, linatafutwa chini ya usimamizi wa Jaji Joseph Warioba na wazee wenzake. Hatua hiyo imekuja baada ya Chadema kutohudhuria kikao wala kusaini kanuni hizo ilipoalikwa pamoja…

Read More

Ndege nne za ATCL hazijatumika siku 721

Moshi. Ndege nne za aina ya Airbus A220 za Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL), zilikaa bila kutumika kwa muda wa kati ya siku 279 hadi 721 hadi kufikia mwaka wa fedha 2023/2024 ulioishia Juni 30, 2024, kwa mujibu wa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG). Katika ripoti kuu ya mwaka…

Read More