Dar es Salaam. Tanzania imepoteza Sh5.345 bilioni kutokana na udanganyifu mwaka 2024, matukio yanayohusishwa na udanganyifu huo ni uhamishaji wa fedha kupitia simu za mkononi,
Month: April 2025

Ofisi ya UN ya kukabiliana na ugaidi (UNOCT) ilizindua Mtandao wa Vyama vya Ugaidi (Votan) Jumatatu. Mtandao ni matokeo muhimu kutoka ya kwanza UN Global

Meridianbet imeleta promosheni ya kusisimua kwa mashabiki wa kasino na ubashiri wa michezo! Sasa ni wakati wako kung’ara na kushinda SIMU 5 MPYA KABISA aina

Mbeya. Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza, Renatus Nkwande amesema ukosefu wa ajira kwa vijana ni moja ya sababu za kuongezeka kwa

Usikose fursa hii ya kipekee! Hospitali hii maarufu kutoka Uturuki inaleta mtaalamu hapa jijini Dar es Salaam kwa ushauri wa afya na masuala ya uzazi

Dodoma. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema Serikali imejipanga kuongeza wigo wa utoaji wa mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vya kati

Malinyi. Mkuu wa Wilaya ya Malinyi, Sebastian Waryuba amesema kazi ya uwekaji wa makaravati na kutengeneza tuta ili kurejesha mawasiliano ya barabara ya Ifakara –

Dar es Salaam. Changamoto za kifedha, kuingiliwa kisiasa, shinikizo katika baadhi ya taasisi, uoga na kutokuwa na utulivu wa kisiasa zimetajwa kuwa vikwazo vya uhuru

Njombe. Waandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura katika Jimbo la Njombe Mjini wametakiwa kushirikiana kikamilifu na Mawakala wa Vyama vya Siasa kwa kuwapokea kwenye

::::::: CHUO Kikuu cha Kiislamu Morogoro, kinatarajia kuadhimisha miaka 20 tangu kuanzishwa kwake kwa kumshukuru na kutambua mchango mkubwa uliotolewa na Rais Mstaafu wa Awamu