Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: April 2025

  • Home
  • 2025
  • April
  • Page 11
Habari

Wizi wa mtandaoni waliza Watanzania Sh5.3 bilioni

April 29, 2025 Admin

Dar es Salaam. Tanzania imepoteza Sh5.345 bilioni kutokana na udanganyifu mwaka 2024, matukio yanayohusishwa na udanganyifu huo ni uhamishaji wa fedha kupitia simu za mkononi,

Read More
Kimataifa

UN inazindua mtandao kusaidia wahasiriwa na waathirika wa ugaidi – maswala ya ulimwengu

April 29, 2025 Admin

Ofisi ya UN ya kukabiliana na ugaidi (UNOCT) ilizindua Mtandao wa Vyama vya Ugaidi (Votan) Jumatatu. Mtandao ni matokeo muhimu kutoka ya kwanza UN Global

Read More
Habari

MERIDIANBET YAWAPA WATEJA NAFASI YA KUSHINDA SIMU MPYA 5 AINA YA SAMSUNG A25

April 29, 2025 Admin

 Meridianbet imeleta promosheni ya kusisimua kwa mashabiki wa kasino na ubashiri wa michezo! Sasa ni wakati wako kung’ara na kushinda SIMU 5 MPYA KABISA aina

Read More
Habari

Askofu Nkwande ataja kiini ongezeko la uhalifu, maadili mabovu kwa vijana

April 29, 2025 Admin

Mbeya. Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza, Renatus Nkwande amesema ukosefu wa ajira kwa vijana ni moja ya sababu za kuongezeka kwa

Read More
Habari

Huduma ya ushauri kutoka kwa mtalaamu wa IVF na magonjwa ya wanawake kutoka MEMORIAL HOSPITAL UTURUKI

April 29, 2025 Admin

Usikose fursa hii ya kipekee! Hospitali hii maarufu kutoka Uturuki inaleta mtaalamu hapa jijini Dar es Salaam kwa ushauri wa afya na masuala ya uzazi

Read More
Habari

Serikali kuongeza mikopo ya wanafunzi wa stashahada

April 29, 2025 Admin

Dodoma. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema Serikali imejipanga kuongeza wigo wa utoaji wa mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vya kati

Read More
Habari

Matengenezo ya barabara ya Ifakara – Malinyi yaendelea

April 29, 2025 Admin

Malinyi. Mkuu wa Wilaya ya Malinyi, Sebastian Waryuba amesema kazi ya uwekaji wa makaravati na kutengeneza tuta ili kurejesha mawasiliano ya barabara ya Ifakara –

Read More
Habari

Sababu wanazuoni kuwa kimya | Mwananchi

April 29, 2025 Admin

Dar es Salaam. Changamoto za kifedha, kuingiliwa kisiasa, shinikizo katika baadhi ya taasisi, uoga na kutokuwa na utulivu wa kisiasa zimetajwa kuwa vikwazo vya uhuru

Read More
Habari

Waandikishaji watakiwa kushirikisha mawakala wa vyama vya siasa

April 29, 2025 Admin

Njombe. Waandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura katika Jimbo la Njombe Mjini wametakiwa kushirikiana kikamilifu na Mawakala wa Vyama vya Siasa kwa kuwapokea kwenye

Read More
Habari

RAIS SAMIA MGENI RASMI MIAKA 20 YA CHUO KIKUU CHA KIISLAMU MOROGORO.

April 29, 2025 Admin

::::::: CHUO Kikuu cha Kiislamu Morogoro, kinatarajia kuadhimisha miaka 20 tangu kuanzishwa kwake kwa kumshukuru na kutambua mchango mkubwa uliotolewa na Rais Mstaafu wa Awamu

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 10 11 12 … 230 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.