Wizi wa mtandaoni waliza Watanzania Sh5.3 bilioni

Dar es Salaam. Tanzania imepoteza Sh5.345 bilioni kutokana na udanganyifu mwaka 2024, matukio yanayohusishwa na udanganyifu huo ni uhamishaji wa fedha kupitia simu za mkononi, benki, na utoaji wa fedha kwa ATM, kama inavyoonyeshwa na ripoti mpya ya Takwimu za Uhalifu na Ajali za Barabarani. Kiasi hicho kinaashiria ongezeko kutoka Sh5.067 bilioni zilizoripotiwa mwaka uliopita,…

Read More

UN inazindua mtandao kusaidia wahasiriwa na waathirika wa ugaidi – maswala ya ulimwengu

Ofisi ya UN ya kukabiliana na ugaidi (UNOCT) ilizindua Mtandao wa Vyama vya Ugaidi (Votan) Jumatatu. Mtandao ni matokeo muhimu kutoka ya kwanza UN Global Congress ya wahasiriwa wa ugaidiiliyofanyika mnamo Septemba 2022. Inaleta pamoja waathirika na waathirika wa ugaidi, vyama vya wahasiriwa na mashirika ya asasi za kiraia kutoka kote ulimwenguni. Lengo ni kutoa…

Read More

Serikali kuongeza mikopo ya wanafunzi wa stashahada

Dodoma. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema Serikali imejipanga kuongeza wigo wa utoaji wa mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vya kati vinavyotoa stashahada lengo ni kuongeza idadi ya wataalamu. Utoaji wa mikopo katika ngazi za stashahada kwa wanafunzi wa ngazi hiyo ya elimu ulianza mwaka 2023/24, kwa fani sita za kipaumbele…

Read More

Matengenezo ya barabara ya Ifakara – Malinyi yaendelea

Malinyi. Mkuu wa Wilaya ya Malinyi, Sebastian Waryuba amesema kazi ya uwekaji wa makaravati na kutengeneza tuta ili kurejesha mawasiliano ya barabara ya Ifakara – Malinyi inaendelea, licha ya changamoto ya kuongezeka kwa maji ya Mto Furua yaliyosababisha makaravati kusombwa. Ameeleza kuwa mvua kubwa zinazoendelea kunyesha zimechangia kujaa kwa mto huo, hali iliyosababisha uharibifu wa…

Read More

Sababu wanazuoni kuwa kimya | Mwananchi

Dar es Salaam. Changamoto za kifedha, kuingiliwa kisiasa, shinikizo katika baadhi ya taasisi, uoga na kutokuwa na utulivu wa kisiasa zimetajwa kuwa vikwazo vya uhuru wa kitaaluma katika nchi mbalimbali za Afrika. Kwa mujibu wa wanazuoni wa kada mbalimbali, ingawa imepita miongo mitatu tangu kupitishwa kwa Azimio la Dar es Salaam na Kampala kuhusu uhuru…

Read More