TRC ilivyobeba abiria ‘kiduchu’ Dar, kuboresha huduma
Moshi. Shirika la Reli Tanzania (TRC), limeshindwa kufikia malengo ya mkakati wake wa miaka mitano (2019/2020-2023/2024) wa kubeba abiria milioni 10 katika utoaji wa usafiri jijini Dar es Salaam, na kuishia kubeba asilimia 28 tu ya lengo. Hayo yamebainishwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere katika ripoti Kuu ya…