MCHENGERWA ATOA MAAGIZO MAHUSUSI KWA maRC na maDED

OR TAMISEMI Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Tamisemi Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa amewaelekeza Wakuu wote wa mikoa kuwasimiamia Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kuzingatia vipaumbele vya mwaka 2025/26 kikamilifu. Waziri Mchengerwa ametoa maelekezo hayo leo Aprili 16, 2025 wakati akiwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya wizara na taasisi zake kwa mwaka…

Read More

WIZARA ISIPOTENGA BAJETI YENYE MTAZAMO WA KIJINSIA INYIMWE FEDHA – PROF. MLAMA

Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Hamad Chande, akiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa WFT-T Bi. Rose Marandu,(kulia), Profesa Penina Mlama (Kati) na Pembeni kushoto ni Mwakilishi Mkaazi wa Shrika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia wanawake (Unwomen) Hodan Haddou. Na Deogratius Koyanga Wizara ambazo hazitatenga Bajeti yenye mtazamo wa Kijinsia, zitatakiwa kutopewa fedha hadi zitakapozingatia mahitaji ya…

Read More

ACT Wazalendo kushiriki uchaguzi, waeleza sababu

Unguja. Kamati ya Uongozi ya ACT Wazalendo imeridhia kwa kauli moja kwamba chama hicho kishiriki uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 huku kikitaja sababu tatu ikiwamo ya kupigania mabadiliko katika mifumo ya uchaguzi. Uamuzi huo umefanyika jana Aprili 15, 2025 mjini Unguja, Zanzibar katika kikao cha Kamati ya Uongozi kilichokaa na kupitisha uamuzi huo utakaokiwezesha chama…

Read More

Mwanafunzi matatani kwa kujifungua mtoto na kumtupa chooni

Rukwa. Jeshi la Polisi mkoani Rukwa linaendelea kufanya uchunguzi wa kina kuhusu tukio linalomhusisha mwanafunzi wa kidato cha nne, Julitha Saimon (18) siyo jina lake sahihi, kutoka Shule ya Sekondari Nkasi, ambaye alijifungua na kisha kumtupa mtoto chooni. Akizungumzia tukio hilo leo Jumatano Aprili 16, 2025, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Rukwa, Shadrack Masija…

Read More

MILIONI 431 ZAWAGUSA WANANCHI WALIOKUWA TAABANI CHATO

Mkuu wa wilaya ya Chato,Louis Bura(katikati) akizungumza na wananchi wa Kibumba. Tenki la maji safi na salama katika mradi wa kisima Kibumba. Meneja wa Ruwasa wilaya ya Chato,Avitus Exavery,akizungumza na waandishi wa habari. Mkuu wa wilaya ya Chato,Louis Bura(wa kwanza kulia) akikagua chanzo cha maji katika mradi wa Kibumba,wa mwisho Kushoto ni Meneja wa Ruwasa,Avitus…

Read More

Chadema: Hatuna ‘stresi’ kutosaini kanuni za maadili ya uchaguzi mkuu

Dar es Salaam. Wakati vuguvugu kuhusu ukomo wa kusainiwa kwa kanuni za maadili ya uchaguzi mkuu likishika kasi, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema suala la kutosaini kanuni hizo haliwapi ‘stresi’ wala hofu, badala yake wataendelea kukomalia ajenda ya No reforms, no election ‘bila mabadiliko hakuna uchaguzi’. Mbali na hilo, kimedai hatua ya Mkurugenzi…

Read More