Mchengerwa ataja vipaumbele sita maboresho Dart
Dar es Salaam. Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart), katika mwaka wa fedha 2025/26, unatarajiwa kukamilisha ununuzi wa mtoa huduma kwa njia ya ubia kati ya sekta ya umma na binafsi katika awamu ya pili ya mradi huo. Sambamba na hilo, wakala huo maarufu ‘mradi wa mwendokasi’ unatarajia kukamilisha ufungamanishaji wa mfumo…