Mchengerwa ataja vipaumbele sita maboresho Dart

Dar es Salaam. Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart), katika mwaka wa fedha 2025/26, unatarajiwa kukamilisha ununuzi wa mtoa huduma kwa njia ya ubia kati ya sekta ya umma na binafsi katika awamu ya pili ya mradi huo. Sambamba na hilo, wakala huo maarufu ‘mradi wa mwendokasi’ unatarajia kukamilisha ufungamanishaji wa mfumo…

Read More

TAMISEMI YAOMBA TRILIONI 11.78 BAJETI 2025/2026

OR-TAMISEMI OFISI ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imewasilisha bungeni makadirio ya mapato kwa mwaka 2025/26 yenye takribani Shilingi trilioni 11. 783 kwa ajili ya wizara na taasisi zilizo chini yake. Bajeti hiyo imeongezeka kutoka Shilingi trilioni 10.125 zilizotengwa mwaka 2024/25 hadi kufikia Shilingi trilioni 11.783 na kuwa na ongezeko la…

Read More

VIPAUMBELE 14 VYA TAMISEMI HIVI HAPA – MHE MCHENGERWA

OR TAMISEMI WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema Wizara yake imepanga kutekeleza vipaumbele 14 katika mpango wa bajeti wa mwaka 2025/26. Akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa wizara na taasisi zake kwa mwaka 2025/26, Mhe. Mchengerwa amesema utekelezaji wa mpango wa majeti unazingatia vipaumbele vya kusimamia shughuli za utawala bora,…

Read More

Wakati tovuti za India za Ramsar zinaongezeka, maeneo ya mvua yanabaki hatarini – maswala ya ulimwengu

Mhifadhi wa mazingira Asad Rahmani pamoja na mfanyikazi wa ulinzi wa ardhi ya mvua huko Haigam Wetland huko India Kaskazini. Mikopo: Athar Parvaiz/IPS na Athar Parvaiz (Delhi mpya) Jumatano, Aprili 16, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NEW DelHI, Aprili 16 (IPS) – Marehemu mnamo Februari, mtaalam wa mazingira wa India na mtunzaji wa mazingira,…

Read More