April 2025
FYATU MFYATUZI: Nimeamua kujipanga kuuza au kubinafsisha ubongo wangu!
Sihitaji ubongo tena. Kwanza, umenifyatua nikafyatua wengine hadi wanatishia kunifyatua kwa kuninyotoa roho. Ubongo umesababishe kero na hatari hadi nikageuka machukizo, ukiachia kujiudhi mwenyewe. Ubongo umenibomoa badala ya kujijenga. Nilifyatua wengine ili wafyatuke na kuwafyatua wanaowafyatua nikaishia kujibomoa. Mbali na ubongo kuniletea madhara kwa vile unachemka, zipo sababu zilizoko nje ya uwezo wangu zinazoniaminisha kuwa…
UCHAMBUZI WA SARAMBA: Watanzania tupige kelele kukemea ‘ukaburu’
Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliwahi kufichua kuwa mara zote alikuwa akibeba na kusoma kwa kurejea mara kadhaa Biblia Takatifu na kitabu cha Azimio la Arusha. Naamini Mwalimu Nyerere alitembea na Biblia kwa sababu ya imani yake ya Kikristo; na kuhusu kitabu cha Azimio la Arusha, nadhani alifanya hivyo kutokana na kuamini…
KANUNI MAADILI YA UCHAGUZI: ‘Kibano’ kwa Serikali, Tume, vyama vya siasa
Wiki iliyopita, vyama vya siasa, Serikali na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) walitia saini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za Mwaka 2025, ikiwa ni hatua za awali za kuanza kwa mchakato wa uchaguzi. Wadau hao walikutana jijini Dodoma na kusaini kanuni hizo ambazo baadaye zitatangazwa kwenye gazeti la…
Chadema inavyopitia njia aliyofeli Savimbi, Raila, Maalim Seif
Mjadala wa siasa kwa sasa ni Chadema kutosaini kanuni za maadili ya uchaguzi, kupoteza sifa ya kushiriki Uchaguzi Mkuu 2025, vilevile migongano ya kisheria kuhusu haki ya chama hicho kushiriki uchaguzi. Wanasheria wanalumbana kuhusu tafsiri ya kifungu namba 162 (2 na 3). Wengine wanatafsiri na kutoa hitimisho kuwa Chadema ndiyo imetoka. Hawana chao Uchaguzi Mkuu…
Wanawake wanaopenda kubusu ndevu hatarini
Dar es Salaam. Katika jamii nyingi, ndevu zimekuwa ishara ya uanamume, mvuto na hata heshima. Wanawake wengi huvutiwa na wanaume wenye ndevu nadhifu na nzuri. Hata katika utafiti uliochapishwa na tovuti ya VWO testing inayojihusisha na masuala ya mitindo kwa wanaume kupitia mfumo walioupa jina la A/B testing, umebaini kuwa wanawake wengi huvutiwa sana na…
NIKWAMBIE MAMA: Kosa la pili halifuti la kwanza
Katika kila jamii kuna mambo yanayostahili kupongezwa na kuungwa mkono, na yapo pia yanayostahili kulaumiwa au kulaaniwa. Jamii yoyote ile, iwe inaongozwa kwa misingi ya demokrasia, kifalme au hata udikteta, kuna vitendo vinapofanyika huwa havikubaliki na jamii husika. Lakini pale jamii inaposhindwa kupaza sauti, kukosoa au kulaani maovu hayo, hujikuta ikibaki na masikitiko, ikiguna pembeni…
Mwili wa Mwigizaji Caren ‘Carina’ Kuwasili Nchini Aprili 18 – Video – Global Publishers
Last updated Apr 16, 2025 Familia ya marehemu Carina, imeeleza kuwa mwili wa ndugu yao aliyefariki dunia nchini India akiwa anapatiwa matibabu, unatarajiwa kuletwa nchini April 18, 2025. Tufuatilie kupitia YouTube ya Global TV, like, comment ili kuendelea kuhabarika kila siku kwa habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika. …
BARAZA LA MZEE SALIM: Hakuna Mtanzania aliye juu ya sheria
Katika kila jamii kuna mambo yanayostahili kupongezwa na kuungwa mkono, na yapo pia yanayostahili kulaumiwa au kulaaniwa. Jamii yoyote ile, iwe inaongozwa kwa misingi ya demokrasia, kifalme au hata udikteta, kuna vitendo vinapofanyika huwa havikubaliki na jamii husika. Lakini pale jamii inaposhindwa kupaza sauti, kukosoa au kulaani maovu hayo, hujikuta ikibaki na masikitiko, ikiguna pembeni…
CCM yapangua ratiba uchukuaji fomu ubunge, uwakilishi na udiwani
Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza mabadiliko ya ratiba ya uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kuomba kuwania udiwani, uwakilishi na ubunge katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025. Taarifa kwa umma iliyotolewa usiku wa kuamkia leo Jumatano, Aprili 16, 2025 na Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi imeeleza uamuzi wa kubadili ratiba…