FYATU MFYATUZI: Nimeamua kujipanga kuuza au kubinafsisha ubongo wangu!

Sihitaji ubongo tena. Kwanza, umenifyatua nikafyatua wengine hadi wanatishia kunifyatua kwa kuninyotoa roho. Ubongo umesababishe kero na hatari hadi nikageuka machukizo, ukiachia kujiudhi mwenyewe. Ubongo umenibomoa badala ya kujijenga. Nilifyatua wengine ili wafyatuke na kuwafyatua wanaowafyatua nikaishia kujibomoa. Mbali na ubongo kuniletea madhara kwa vile unachemka, zipo sababu zilizoko nje ya uwezo wangu zinazoniaminisha kuwa…

Read More

Wanawake wanaopenda kubusu ndevu hatarini

Dar es Salaam. Katika jamii nyingi, ndevu zimekuwa ishara ya uanamume, mvuto na hata heshima. Wanawake wengi huvutiwa na wanaume wenye ndevu nadhifu na nzuri.  Hata katika utafiti uliochapishwa na tovuti ya VWO testing inayojihusisha na masuala ya mitindo kwa wanaume kupitia mfumo walioupa jina la A/B testing, umebaini kuwa wanawake wengi  huvutiwa sana na…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Kosa la pili halifuti la kwanza

Katika kila jamii kuna mambo yanayostahili kupongezwa na kuungwa mkono, na yapo pia yanayostahili kulaumiwa au kulaaniwa.  Jamii yoyote ile, iwe inaongozwa kwa misingi ya demokrasia, kifalme au hata udikteta, kuna vitendo vinapofanyika huwa havikubaliki na jamii husika.  Lakini pale jamii inaposhindwa kupaza sauti, kukosoa au kulaani maovu hayo, hujikuta ikibaki na masikitiko, ikiguna pembeni…

Read More

BARAZA LA MZEE SALIM: Hakuna Mtanzania aliye juu ya sheria

Katika kila jamii kuna mambo yanayostahili kupongezwa na kuungwa mkono, na yapo pia yanayostahili kulaumiwa au kulaaniwa.  Jamii yoyote ile, iwe inaongozwa kwa misingi ya demokrasia, kifalme au hata udikteta, kuna vitendo vinapofanyika huwa havikubaliki na jamii husika.  Lakini pale jamii inaposhindwa kupaza sauti, kukosoa au kulaani maovu hayo, hujikuta ikibaki na masikitiko, ikiguna pembeni…

Read More