Wawili mbaroni kukutwa na meno ya tembo
Mbeya. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kwa kushirikiana na Mamlaka ya Usimamizi Wanyamapori Tanzania (Tawa) linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kukutwa na vipande 12 vya meno ya tembo katika Wilaya ya Kyela na Mbarali mkoani Mbeya. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga leo Jumanne Aprili 15, 2025 akizungumza na waandishi wa…