Kinje wa AAFP mguu sawa kinyang’anyiro urais 2025

Dar es Salaam. Chama cha siasa cha Wakulima (AAFP) leo kimemteua rasmi kada wake, Kunje Ngombale-Mwiru kuwa mgombea wa urais atakayewakilisha chama hicho katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu. Hata hivyo, chama hicho kimeshindwa kumpata mgombea urais upande wa Zanzibar baada ya aliyekuwa anawania nafasi hiyo, Said Soud kupigiwa kura nyingi za hapana….

Read More

CCM: Watakaohujumu uchaguzi kura za maoni, kusimamshwa kazi

Zanzibar. Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk Mohamed Said Dimwa, amesema chama kitawasimamisha kazi na wengine kuwapeleka katika kamati za usalama na maadili watendaji na viongozi wake watakaojihusisha na vitendo vya kuhujumu mchakato wa uchaguzi wa ndani wa kura za maoni. Kura hizo za maoni zinalenga kuwapata wagombea wa nafasi za…

Read More

CCM kuwasimamisha kazi watakaohujumu uchaguzi kura za maoni

Zanzibar. Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk Mohamed Said Dimwa, amesema chama kitawasimamisha kazi na wengine kuwapeleka katika kamati za usalama na maadili watendaji na viongozi wake watakaojihusisha na vitendo vya kuhujumu mchakato wa uchaguzi wa ndani wa kura za maoni. Kura hizo za maoni zinalenga kuwapata wagombea wa nafasi za…

Read More

BODI YA TASAC YAWEKA MIKAKATI YA KUSHUGHULIKA NA CHANGAMOTO YA MIALO YA UVUVI KARAGWE

          :::;::; Na Mwandishi Wetu Karagwe  Wanannchi wa Mialo ya  Chaamchuzi,Lukombe pamoja Ziwa la Lwakajunju Wilayani Karagwe wameiomba Serikali kujenga miundombinu katika mialo na Ziwa hilo ili kuweza kufanya kazi yao katika mazingira yatakayoongeza mapato ya Serikali. Wananchi hao wameyasema hayo wakati ziara ya Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Uwakala…

Read More

Adha ya mvua inavyotesa wakazi wa Dar, mikoani

Dar/mikoani. Barabara hazipitiki, kazini na hata shuleni hakuendeki. Huu ndio uhalisia wa hali ilivyo katika baadhi ya maeneo nchini, kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha mfululizo. Mbali na uharibifu wa miundombinu, kuongezeka kwa gharama za usafiri kutoka eneo moja kwenda jingine na msongamano barabarani ni miongoni mwa changamoto, huku baadhi ya maeneo wakineemeka kwa mazao kustawi….

Read More

Ujumbe wa Papa Francis kwa vijana wa kizazi kipya

Vatican. Katika miaka ya hivi karibuni kumekuwapo maendeleo makubwa ya sayansi na teknolojia ya mawasiliano inayowawezesha watu wengi kuwasiliana. Hata hivyo, matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii yamekuwa chanzo cha kusambaratika kwa mawasiliano katika familia na jamii kwa ujumla. Padri Richard Mjigwa katika andiko lililochapishwa na mtandao wa Vatican News Aprili 28, 2025 amesema badala…

Read More

WANACHUO KUTOKA MAREKANI WATEMBELEA CCM

LEO Aprili 29, 2025, wanachuo na wakufunzi wao kutoka Chuo Kikuu Cha Whitworth cha Marekani, wametembelea Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Dar es Salaam na kufanya mazungumzo na Katibu wa NEC Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Ndugu Rabia Abdalla Hamid. Pamoja na mambo mengine, wanachuo hao wanaosoma masomo ya siasa,…

Read More

Wafanyakazi wa nyumbani wakanywa vitendo viovu

Singida. Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, Mei Mosi, Serikali imewataka wafanyakazi wa nyumbani nchini kutokutenda vitendo viovu vinavyosababisha kundi zima kuchukuliwa na jamii kuwa ni kundi la hatari au kuwadharau na kusababisha kuathiri hadhi ya kazi zao. Aidha imeahidi kuendelea kulinda kundi hilo la wafanyakazi wa nyumbani wapate haki sawa na wafanyakazi wengine….

Read More