Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: April 2025

  • Home
  • 2025
  • April
  • Page 12
Habari

Kinje wa AAFP mguu sawa kinyang’anyiro urais 2025

April 29, 2025 Admin

Dar es Salaam. Chama cha siasa cha Wakulima (AAFP) leo kimemteua rasmi kada wake, Kunje Ngombale-Mwiru kuwa mgombea wa urais atakayewakilisha chama hicho katika uchaguzi

Read More
Habari

NDAISABA AIOMBA SERIKALI KUTOA SULUHU YA UMEME VIJIJINI, APONGEZA JUHUDI ZA RAIS SAMIA

April 29, 2025 Admin

Na Mwandishi wetu _ Fichuzi  News blog Mbunge wa Jimbo la Ngara ameibua hoja nzito kuhusu changamoto ya kukatika kwa huduma ya umeme katika baadhi

Read More
Habari

CCM: Watakaohujumu uchaguzi kura za maoni, kusimamshwa kazi

April 29, 2025 Admin

Zanzibar. Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk Mohamed Said Dimwa, amesema chama kitawasimamisha kazi na wengine kuwapeleka katika kamati za usalama

Read More
Habari

CCM kuwasimamisha kazi watakaohujumu uchaguzi kura za maoni

April 29, 2025 Admin

Zanzibar. Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk Mohamed Said Dimwa, amesema chama kitawasimamisha kazi na wengine kuwapeleka katika kamati za usalama

Read More
Habari

BODI YA TASAC YAWEKA MIKAKATI YA KUSHUGHULIKA NA CHANGAMOTO YA MIALO YA UVUVI KARAGWE

April 29, 2025 Admin

          :::;::; Na Mwandishi Wetu Karagwe  Wanannchi wa Mialo ya  Chaamchuzi,Lukombe pamoja Ziwa la Lwakajunju Wilayani Karagwe wameiomba Serikali kujenga miundombinu

Read More
Habari

Sababu maji kujaa Mto Mzinga zatajwa, Tarura yaeleza mikakati

April 29, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wakati wananchi wa mitaa ya Kata ya Zingizwa wilayani Ilala jijini Dar es Salaam wakipaza sauti kuhusu kujaa maji katika Mto Mzinga

Read More
Habari

Adha ya mvua inavyotesa wakazi wa Dar, mikoani

April 29, 2025 Admin

Dar/mikoani. Barabara hazipitiki, kazini na hata shuleni hakuendeki. Huu ndio uhalisia wa hali ilivyo katika baadhi ya maeneo nchini, kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha mfululizo.

Read More
Habari

Ujumbe wa Papa Francis kwa vijana wa kizazi kipya

April 29, 2025 Admin

Vatican. Katika miaka ya hivi karibuni kumekuwapo maendeleo makubwa ya sayansi na teknolojia ya mawasiliano inayowawezesha watu wengi kuwasiliana. Hata hivyo, matumizi mabaya ya mitandao

Read More
Habari

WANACHUO KUTOKA MAREKANI WATEMBELEA CCM

April 29, 2025 Admin

LEO Aprili 29, 2025, wanachuo na wakufunzi wao kutoka Chuo Kikuu Cha Whitworth cha Marekani, wametembelea Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Dar

Read More
Habari

Wafanyakazi wa nyumbani wakanywa vitendo viovu

April 29, 2025 Admin

Singida. Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, Mei Mosi, Serikali imewataka wafanyakazi wa nyumbani nchini kutokutenda vitendo viovu vinavyosababisha kundi zima kuchukuliwa na jamii

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 11 12 13 … 230 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.