Baba miaka 30 jela kwa kumuingilia mwanaye

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Musoma, imebariki adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela kwa mkazi wa Bunda, aliyohukumiwa kwa kosa la kumuingilia binti yake wa kumzaa aliyekuwa na umri wa miaka 12. Kulingana na Kanuni ya Adhabu Sura ya 16 kama ilivyofanyiwa marejeo mwaka 2022, kosa la kuzini na ndugu wa damu (incest by male)…

Read More

Mbunge alalamikia riba kubwa kwa wakopeshaji

Dodoma. Mbunge wa Kigoma mjini, Kilumbe Ng’enda ameitaka Serikali kutoa tamko la lini itafanya marekebisho ya riba kwenye mikopo kwani inawaumiza Watanzania. Kilumbe amesema wafanyabiashara na wanaolisha tenda mbalimbali kwenye taasisi za umma wanafilisika kwa sababu ya ongezeko la madeni na riba ambalo lipo kwenye taasisi za kifedha. Ametoa kauli hiyo wakati akichangia kwenye hotuba…

Read More

BENKI YA USHIRIKA KUINUA UCHUMI JUMUISHI KWA JAMII

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Ushirika Godfrey Joel Ng’urah,amemuhakikishia Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT),Emmanuel Tutuba kuwa benki hiyo itahakikisha inainua uchumi Jumuishi kwa jamii,ili kuhakikisha kila mmoja anashiriki fursa zinazotolewa na benki hiyo. Ng’urah amesema hayo alipomtembelea ofisini kwake Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania BOT,na kufanya mazungunzo…

Read More

Mbunge akataa kura za kuongezewa kwenye sanduku

Dodoma. Mbunge wa Mbogwe (CCM), Nicodemus Maganga amewataka wasimamizi wa uchaguzi mkuu kutenda haki ili watoe matokeo sahihi bila kuongeza kura wala kupunguza. Maganga amesema mgombea akipewa kura sahihi kwenye uchaguzi itasaidia Taifa kuwa na viongozi sahihi wenye hofu ya Mungu kuliko kama watapatikana viongozi watakaopita kwa nguvu ya wasimamizi. Ametoa kauli hiyo leo Jumanne…

Read More

Gambo ahoji kusuasua ujenzi wa stendi ya mabasi Arusha

Dodoma. Mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mrisho Gambo, amemuhoji Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Dk Festo Dugange, ikiwa yuko tayari kujiuzulu endapo ujenzi wa stendi ya kisasa katika eneo la Bondeni City, jijini Arusha, hautakuwa umeanza kufikia Mei 2025. Akiuliza maswali ya nyongeza bungeni leo Jumanne,…

Read More