Mabalozi kutoka nchi mbalimbali waahidi kuisaidia Tanzania kutangaza vivutio vya utalii

Na Mwandishi Wetu -Arusha.  Mabalozi wanaowakilisha nchi mbalimbali pamoja na mashirika ya kimataifa wameonesha kuvutiwa na vivutio vilivyoko nchini huku wakiahidi kuiongezea nguvu Tanzania katika kutangaza vivutio hivyo katika nchi zao. Wakizungumza jana kwenye hafla ya chakula cha jioni kilichoandaliwa na Benki ya NMB kwa kushirikiana na Wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa…

Read More

Baba miaka 30 jela kwa kuzini na mwanaye

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Musoma, imebariki adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela kwa mkazi wa Bunda, aliyohukumiwa kwa kosa la kuzini na binti yake wa kumzaa  aliyekuwa na umri wa miaka 12. Kulingana na Kanuni ya Adhabu Sura ya 16 kama ilivyofanyiwa marejeo mwaka 2022, kosa la kuzini na ndugu wa damu…

Read More

Umri huu hatari kupata ugonjwa wa presha

Presha ni maradhi yanayotokana na kuongezeka kwa msukumo wa damu katika mishipa hali inayosababisha kazi ya moyo ya kusambaza damu iwe ngumu kuliko kawaida. Maradhi hayo kwa kawaida hupimwa ujazo wa 120/80 cha makyuri, ambapo ili mgonjwa aonekane kwamba ana shinikizo la juu la damu, huanzia kipimo cha 140/90mm/hg. Wataalamu wa afya wanatueleza kuwa uwezekano…

Read More

Carina Afariki Dunia Nchini India – Global Publishers

Habari zilizotufilia hivi punde, zinaeleza kuwa mwanadada Carolina Hawa almaarufu Carina aliyekuwa akitibiwa nchini India, amefariki dunia. Taarifa za awali zinaeleza kuwa Carina alitarajiwa kurejea Tanzania leo baada ya kufanyiwa upasuaji mkubwa kutibu tatizo la tumbo lililokuwa likimsumbua kwa muda mrefu. 🔴 Tufuatilie kupitia YouTube ya Global TV, like, comment ili kuendelea…

Read More

Simba yataja sababu za kuiwahi Stellenbosch Zanzibar

Simba imesema inawahi Zanzibar siku nne kabla ya mchezo huo wa nusu fainali ya mkondo wa kwanza wa Kombe la Shirikishio Afrika utakaochezwa Aprili 20 mwaka huu kwenye Uwanja wa New Amaan Complex visiwani humo ili kutoa fursa kwa wachezaji kuzoea mazingira na kuwarahisishia kazi ya kupata ushindi. Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba,…

Read More

Siku 14 kuamua hatma ya Pacome Yanga

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa siku 10 hadi 14 baada ya kuumia kifundo cha mguu (Ankle sprain). Pacome aliumia kwenye mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Azam baada ya kugongana na Yahya Zayd katika mchezo huo timu yake iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 yakiwekwa kambani naye…

Read More