Kila bao, Mpanzu anampa kocha laki

ELLIE Mpanzu amewafunga mdomo wale wote waliokuwa wakimpopoa wakati alipoanza kuitumikia Simba iliyomsajili kupitia dirisha dogo, huku mabao aliyoanza kuyafunga akiwa na kikosi hicho yameanza kulipa kwa kocha binafsi wa mazoezi wa kiungo mshambuliaji huyo kutoka DR Congo.  Nyota huyo anayemudu kucheza wingi zote mbili, aliwekeana ahadi na kocha Mohamed Mrishona ‘Xavi’ kwamba atakuwa akimlipa…

Read More

Suala la gongo limeendelea kuibuka wabunge wakikomaa ihalalishwe

Dodoma. Wabunge Condester Sichalwe (Momba) na Cecil Mwambe (Ndanda) wameendelea kusisitiza msimamo wao, wakiiomba Serikali ihalalishe matumizi ya pombe ya gongo. Wakati Sichalwe akitoa kauli hiyo leo, jana Mbunge wa Ndanda, mkoani Mtwara, Cecil Mwambe, naye aliitaka Serikali kutafsiri upya sheria zilizopo ili kuwaruhusu wakulima wa korosho kutumia zao hilo kuzalisha pombe aina ya gongo….

Read More

Yanga v Stand United FA mechi ya kibishi

WATETEZI wa Kombe la Shirikisho (FA), Yanga jioni ya leo wanashuka uwanjani kuikaribisha Stand United katika mchezo wa robo fainali ya michuano hiyo, huku Chama la Wana likipiga hesabu ya kuwa klabu ya kwanza ya Ligi ya Championship kutinga nusu fainali baada ya nyingine kutolewa. Mchezo huo wa hatua ya robo fainali utapigwa kwenye Uwanja…

Read More

Tamu, chungu rekodi ya Simba kwa Wasauzi

JUMAPILI hii Aprili 20, 2025, Simba SC itaikaribisha Stellenbosch FC katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Katika mchezo huo utakaofanyika Uwanja wa New Amaan Complex uliopo Kisiwani Unguja, rekodi zinaonyesha upande mmoja kuwa mtamu zaidi kwa Simba, huku pia ikiwa mchungu pindi inapocheza dhidi ya timu kutoka…

Read More

Ukomo wa kanuni za maadili gumzo

Dar es Salaam. Kukosekana kipengele kinachoweka ukomo wa muda wa kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, kumeibua mjadala kwa wanasheria, wakihoji sheria ipi inayoeleza chama cha siasa lazima kisaini siku inayopangwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC). Chimbuko la mjadala huo ni hatua ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kutangazwa na INEC…

Read More