Kabla hujabadili tahasusi, zingatia haya
Serikali kupitia Ofisi ya Rais-Tamisemi imetangaza fursa ya mwezi mmoja kwa wanafunzi waliohitimu kidato cha nne mwaka 2024 kubadili tahasusi au kozi wanazosomea sasa. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma mapema mwezi huu, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Tamisemi, Mohamed Mchengerwa alisema hatua hiyo inatoa fursa kwa wanafunzi kubadilisha machaguo ya tahasusi ili kutimiza…