LATRA YAWEKA REKODI MPYA YAJIVUNIA MAKUBWA AWAMU YA SITA, YATOA LESENI LUKUKI
***** MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imesema kuwa, katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan kuanzia mwezi Februari, 2021 hadi mwezi Machi 2025 imetoa leseni 108,658 za usafirishaji. Hayo yamesemwa leo Aprili 14,2025 jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka…