Waziri Mkuu atoa agizo kwa Ma-RAS, Ma-DED
Dodoma. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewaagiza Makatibu Tawala wa Mikoa (RAS) na Wakurugenzi (DED) nchini kumzungumzia mema Rais Samia Suluhu Hassan ili asitumie muda mwingi atakapopita kwenye maeneo yao wakati wa kampeni. Majaliwa ametoa kauli hiyo leo Jumatatu, Aprili 14, 2025 alipozungumza na wajumbe wa mkutano wa 15 wa Taasisi ya Maboresho ya Mifumo ya…