Juma Abdul ataja ‘Top 5’ ya mastraika hatari

BEKI wa zamani wa Mtibwa Sugar, Yanga na Singida Big Stars, Juma Abdul ameitaja 5-Bora ya washambuliaji aliowashudia ubora wao kwa namna walivyokuwa wanawaliza mabeki waliokuwa wanaidharau mipira iliyokufa na kujikuta wakiruhusu mabao ya kizembe.  Aliwataja washambuliaji hao waliowahi kuibuka vinara wa mabao Ligi Kuu Bara, Mussa Hassan Mgosi aliyeibuka mfungaji Bora msimu wa 2019/10…

Read More

Tanzania, Sweden kupambana na athari za viuatilifu nchini

Arusha. Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania  (TPHPA), imeingia makubaliano ya miaka miwili na Taasisi  ya Udhibiti wa Kemikali ya Sweden (Kemi) kukabiliana na athari za viuatilifu kwa afya za binadamu, wanyama na mazingira kwa jumla. Akizungumza leo Jumatatu, Aprili 14, 2025 jijini Arusha baada ya kusaini hati ya makubaliano hayo (MoU), Mkurugenzi…

Read More

Mradi wa Utengule na Nsalala kukamilika Mei

Mbeya. Mradi wa upimaji ardhi katika maeneo ya Utengule na Nsalala uliokuwa chini ya Tanganyika Packers na TBC Iwambi mkoani Mbeya ambao ulianza Juni, 2024, unatarajia kukamilika Mei mwaka huu, huku ukitajwa kufungua fursa nyingi za kiuchumi na ajira. Pia kukamilika kwa mradi huo utafanya Mkoa wa Mbeya haswa Wilaya za Mbeya Vijijini na Mbeya…

Read More

Utalii wa Zanzibar washika kasi ongezeko la wageni

Unguja. Zanzibar imeshuhudia ongezeko kubwa katika sekta ya utalii mwaka 2024, kwa kuwapokea wageni wa kimataifa 736,755, sawa na ongezeko la asilimia 15.4 kutoka wageni 638,498 waliowasili mwaka 2023, kwa mujibu wa ripoti mpya ya takwimu za utalii. Ripoti hiyo iliandaliwa na Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali na Tume ya Utalii Zanzibar. Ingawa ongezeko…

Read More

VIONGOZI WA CCM KATIKA PICHA Z’BAR

***** Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiwa kwenye picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais Mstaafu wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein,…

Read More

Mikoa hii ijiandae kwa mvua kwa saa 48

Dar es Salaam. Wakati mvua iliyonyesha katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Dar es Salaam ikisababisha adha kwa wananchi, Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) leo Aprili 14, 2025 imetoa angalizo la mvua kubwa kwa siku mbili katika mikoa sita nchini. Taarifa hiyo inakuja wakati ambapo usiku wa kuamkia leo Jumatatu, Aprili 14, 2025…

Read More

MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AWAONGOZA MAWAKILI WA SERIKALI KATIKA MKUTANO MKUU WA MAWAKILI

…………………… Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Mlezi wa Chama cha Mawakili wa Serikali Tanzania, Mhe. Hamza S. Johari amewaongoza Mawakili wa Serikali kushiriki katika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama cha Mawakili wa Serikali unaofanyika  Jijini, Dodoma tarehe 14 hadi 15 Aprili, 2025. Akizungumza katika Mkutano huo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali amewataka Mawakili wa Serikali…

Read More

Watanzania waitwa kupanda miti Mlima Kilimanjaro kuokoa barafu

Dar es Salaam. Katika kuokoa mazingira ya Mlima Kilimanjaro ikiwemo barafu na miti, wadau wa mazingira kwa kushirikiana na Serikali wamewaita Watanzania kupanda miti takriban bilioni moja itakayosaidia kuokoa barafu iliyopo kwenye mlima huo. Hatua hiyo inatokana na kuyeyuka haraka kwa barafu kwa sababu ya joto kali linalotokana na mabadiliko ya tabianchi yanayoshuhudiwa duniani. Watafiti…

Read More