Hii ndio Stellenbosch iliyoingia anga za Simba

Unaweza kusema ni kijana barobaro au vijana wa 2000 kutokana na umri wao kwenye soka tangu wabadilishwe jina kutoka Vasco Da Gama hadi kuitwa Stellenbosch FC. Vijana hawa wameweza kujitengenezea jina kubwa ndani ya soka la Afrika Kusini tangu wafanikiwe kupanda daraja kutoka National Fisrt Division hadi Ligi Kuu ya DStv Premiership. Mafanikio haya yalikuwa…

Read More

Biteko ataka mikopo umiza ikomeshwe

Dodoma. Naibu Waziri Mkuu, Dk Doto Biteko amewaagiza Chama cha Wanawake wa Sekta ya Fedha (Tawifa), kutoa elimu kwa wanawake juu ya matumizi ya fedha hasa za mikopo ili kuepusha kundi hilo kuingia katika mikopo hatarishi. Mikopo hatarishi imepachikwa majina mengi ikiwemo kausha damu, komandoo, pasua moyo, kichefuchefu; imekuwa ikitajwa kuwa chanzo cha kufilisika, kujiua,…

Read More

BARRICK YADHAMINI KONGAMANO LA WANAFUNZI VYUO VIKUU LILILOFANYIKA CHUO KIKUU DODOMA

Afisa Raslimali Mwandamizi wa Barrick nchini,Chrispin Ngwaji akiwaeleza wanafunzi wa vyuo vikuu shughuli za kampuni ya Barrick nchini. Mkuu wa wilaya ya Bahi mkoani Dodoma, Joachim Nyingo akiongea katika kongamano hilo. Mtendaji Mkuu wa AIESEC nchini,Vicent Manila **** Katika kufanikisha dhamira yake ya uwezeshaji wa vijana,kampuni ya Barrick nchini imedhamini kongamano la vijana kupitia taasisi…

Read More

Ukistaajabu ya Samatta, Ulimwengu utayaona ya Bailey

Unaikimbuka TP Mazembe ile ya kuanzia mwaka 2014 hadi 2016?  Ndiyo, Kocha wa sasa wa Yanga Miloud Hamdi alikufa na USM Alger yake katika mechi zote mbili za fainali ya Ligi ya Mabingwa mwaka 2015. Mazembe hiyo iliyokuwa na rundo la mastaa waliotamaniwa na kila timu Afrika lakini hawakuweza kuchukuliwa. Kulikuwa na wengi wanaovutia kuwatazama…

Read More

INEC yapuliza kipyenga kingine uandikishaji wapigakura

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jaji wa Rufaa, Jacobs Mwambegele ametangaza ngwe ya pili ya uboreshaji wa daftari la kudumu la mpigakura litakaloanza Mei 1 na kutamatika Julai 4, 2025. Mchakato huo umefunguliwa baada ya kukamilika mzunguko wa kwanza, ulioanza Julai 20,2024 hadi Machi 25,2025 ikiwa ni utekelezaji…

Read More

WACHIMBAJI WADOGO SIMIYU WAMUUNGA MKONO DK.SAMIA

MKUU wa Mkoa wa Simiyu Kenani Kihongosi amemshukuru Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha anatatua kero mbalimbali zinazowakumba wachimbaji wadogo wa madini katika mkoa huo wa Simiyu. Akizungumzia katika mkutano wake na wachimbaji wadogo wa madini Mkoa wa Simiyu, Kihongosi amesema changamoto kubwa iliyokua inaikabili kada hiyo ni ukosefu…

Read More

Msuva mambo yamenoga Ligi Kuu Iraq

Bao moja ambalo Saimon Msuva ameifungia timu yake ya Al Talaba dhidi ya Al Karma juzi kwenye Ligi Kuu ya Iraq, limemfanya nyota huyo wa Taifa Stars kufikisha mabao tisa kwenye ligi hiyo, idadi ambayo inamfanya abakize mabao matano ili avunje rekodi yake aliyojiwekea msimu wa 2018/2019. Rekodi ambayo Msuva anaiwinda ni ya kufunga idadi…

Read More