SIMULIZI ZA UCHUNGU NA MAPAMBANO YA HAKI: TANZANIA NA CHANGAMOTO ZA UTEKELEZAJI WA HAKI YA AFYA YA UZAZI KWA WAATHIRIKA WA UKATILI WA KIJINSIA

KATIKA kona nyingi za jamii yetu, simulizi za uchungu, maumivu na ukimya zimeendelea kuwasibu wanawake na wasichana wanaofanyiwa ukatili wa kijinsia na kuishia kupata mimba zisizotarajiwa. Ukatili wa kijinsia si jambo geni tena. Wanawake wengi wameripotiwa kupigwa, kubakwa, kulazimishwa kufanya tendo la ndoa bila ridhaa yao, au hata kudhalilishwa kihisia. Haya yote huacha majeraha makubwa…

Read More

Rais Samia ateua viongozi wanne

Dodoma. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameendelea kuimarisha taasisi za umma kwa kufanya uteuzi wa viongozi wanne wa mashirika ya Serikali. Tarifa iliyotolewa leo Jumanne, Aprili 29, 2025 na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu ikimnukuu Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka imebainisha walioteuliwa ni wenyeviti wa bodi. Rais Samia amemteuwa Dk Fatma Kassim…

Read More

MWENGE WA UHURU KUPOKELEWA MEI 10 SONGEA DC, VIONGOZI WAIPONGEZA SERIKALI KWA MAENDELEO MAKUBWA

Na Belinda Joseph-Songea DC. Halmashauri ya Wilaya ya Songea imejipanga kwa mapokezi ya Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025, unaotarajiwa kuingia Mei 10 kupitia Kata ya Mpandangindo na kufanya mkesha katika Kata ya Magagura, ikiwa ni sehemu ya kusherehekea mafanikio ya maendeleo katika maeneo yote ya Halmashauri hiyo. Akizungumza katika Mkutano wa kawaida wa Baraza…

Read More

Wachimbaji wa Wanawake wa Tanzanias wanaochimba usawa katika tasnia inayotawaliwa na wanaume-maswala ya ulimwengu

Wachimbaji wa kike wanapigania kutambuliwa, kupigana na vizuizi vya umiliki wa ardhi, ukosefu wa fedha, na ubaguzi katika sekta ambayo wanaume wanashikilia madaraka. Mikopo: Kizito Makoye/IPS na Kizito Makoye (Dar es salaam) Jumanne, Aprili 29, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Dar es Salaam, Aprili 29 (IPS) – Chini ya jua kali la Tanzania, Neema…

Read More

Wapangaji waibua mpya kortini ghorofa lililoporomoka Kariakoo

Dar es Salaam. Ni kumbukumbuku ambayo bado haijafutika kichwani mwa Watanzania hasa kwa wafanyabiashara wa Soko la Kariakoo baada ya jengo la ghorofa kuporomoka. Sasa wapangaji wake wamekuja na mpya mahakamani. Wafanyabiashara hao waliokuwa wamepanga vyumba vya biashara katika jingo hilo lililoanguka katika Mtaa wa Mchikichini na Kongo, eneo la Kariakoo jijini Dar es Salaam mwaka…

Read More

CCM: Anayetaka kutushinda akaribie uwanjani Oktoba

Dar es Salaam. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema vyama vya siasa vinavyotangaza nia ya kuiondoa CCM madarakani vijiandae kukutana nayo katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025 utakaofanyika baadaye mwaka huu. Kwa nyakati tofauti baadhi ya vyama mbalimbali vya upinzani vikiwamo vya Chadema, ACT Wazalendo na CUF vimekuwa…

Read More

RWEBANGIRA- MKAFANYE KAZI KWA WELEDI

Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe.Magdalena K.Rwebangira leo tarehe 29 Aprili, 2025 ametembelea mafunzo ya watendaji wa Vituo (Waendesha vifaa vya Bayometriki na waandishi wasaidizi ngazi ya Kituo) katika Manispaa ya Sumbawanga kuona namna mafunzo hayo yanavyofanyika. Mhe.Rwebangira amewataka watendaji hao kuzingatia mafunzo, ili wakatekeleze majukumu waliyoaaminiwa na Tume kwa umakini na…

Read More