WAZIRI ULEGA AWAOMBA TET KUENDELEZA TUZO YA TAIFA YA MWALIMU NYERERE YA UANDISHI BUNIFU

WAZIRI wa Ujenzi Abdallah Ulega amesema kuwa Serikali itahakikisha inatoa fedha ili kufanikisha utoaji wa Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu ili ziwe endelevu na kufikia malengo yale yaliyokusudiwa hasa ya kukuza lugha ya Kiswahili nchini na duniani kwa ujumla. Akizungumza  jana wakati alipomwakilisha Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango…

Read More

VIJANA WATAKIWA KUJIEPUSHA NA VITENDO VINAVYOWEZA KUSABABISHA MATATIZO YA AFYA YA AKILI

Na Oscar Assenga, MKINGA VIJANA waliohitimu mafunzo ya awali ya Jeshi kwa Vijana wa kujitolea Operesheni ya Miaka 60 ya Muungano katika kikosi cha Jeshi 838 KJ,Maramba wilayani Mkinga wametakiwa kuhakikisha wanajiepusha na vitendo vinavyoweza kuwasababishia matatizo ya afya ya akili na mwili. Kauli hiyo ilitolewa na Brigedia Jenerali Hashim Komba wakati akifunga mafunzo hayo…

Read More

Matatani kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo

Unguja. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi linamshikilia Abdallah Ramadhan Mnolwa (24) kutoka Iringa kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo. Hayo yameelezwa leo, Jumatatu Aprili 14, 2025 na Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi, Abubakar Khamis Ally, alipozungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Madema. Amesema mtuhumiwa huyo alifika kituo cha…

Read More

ACT-Wazalendo: Hatutaki kuvunja Muungano, tunahitaji usawa

Unguja. Chama cha ACT-Wazalendo kimesema hakina lengo la kuuvunja Muungano, badala yake wanahitaji usawa utakaojenga heshima kwa pande zote mbili za Zanzibar na Tanzania Bara. Hayo yamesemwa leo, Jumatatu Aprili 14, 2025, na Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Othman Masoud Othman, wakati akihitimisha ziara yake ya kuzungumza na viongozi wa ngazi mbalimbali za chama hicho…

Read More

Mambo 10 ya kushangaza kuhusu mvua

Dar es Salaam. Unapohisi mpangilio ule ule wa matone ya mvua yakigonga ngozi yako, huenda usifikirie kuhusu sifa za kuvutia za mvua. Hata hivyo, mvua ni sehemu ya ajabu la dunia yetu ya asili inayoficha siri nyingi. Kwa mujibu wa Mtandao wa FoxWeather, mvua hupitia mabadiliko mbalimbali na hufuata mifumo fulani kutoka utengenezwaji wake juu…

Read More

SERIKALI YAIPONGEZA KAMPUNI YA NDENENGO SENGUO

Kushoto ni mkuu wa wilaya ya Chato,Louis Peter Bura,akipata ufafanuzi kutoka kwa Msimamizi mkuu wa kampuni ya Ndenengo,aliyeko kulia. ……………………… Na Daniel Limbe,Chato SERIKALI wilayani Chato mkoani Geita imeipongeza kampuni ya kizalendo ya M/S Ndenengo Senguo Company Limited, inayotekeleza mradi wa upanuzi wa mtandao wa maji safi na salama kutoka Buzirayombo hadi Mkungo kutokana na…

Read More