Mbunge mwingine aomba gongo ya korosho ihalalishwe

Dodoma. Mbunge wa Ndanda (CCM), Cecil Mwambe leo Jumatatu April 14, 2025 bungeni jijini Dodoma ameihoji Serikali kama haioni haja ya kutafsiri sheria ili kuruhusu wakulima wa korosho wazalishe gongo. “Je Serikali haioni haja ya kutafsiri Sheria ya Intoxication Liquors Act 1968 ili kutoa fursa kwa wakulima kupata kipato kwenye gongo ya mabibo,” ameuliza Mwambe….

Read More

VIONGOZI OLOSIVA LAWAMANI KWA KUBOMOA KUTA ZA NYUMBA ZA WANANCHI BILA KUFUATA SHERIA, WAIOMBA SERIKALI KUINGILIA KATI NA KUWACHUKULIA HATUA ZA KISHERIA!

 Na Joseph Ngilisho ARUMERU  WANANCHI zaidi ya 200 wakiwemo mabalozi,diwani na mtendani kata katika kitongoji cha Olosiva wilaya ya Arumeru wamejichukukia sheria mkononi kwa  kubomoa kuta za nyumba za zaidi ya 100 bila kuwashirikisha wahusika jambo linaloashiria uwepo wa uvunjifu wa Amani. Tukio hilo kimetokea mwishoni mwa wiki na kuzua taharuki kubwa kwa wananchi waliobomolewa …

Read More

Simba yaipeleka Stellenbosch Zenji | Mwanaspoti

WAWAKILISHI pekee wa Tanzania katika michuano ya CAF, Simba imeamua kuwapeleka wapinzani wao wa mechi za nusu fainali, Stellenbosch ya Afrika visiwani Zanzibar. Simba itavaana na timu hiyo ya Afrika Kusini Jumapili ya wikiendi hii kwenye Uwanja wa Amaan Complex, baada ya Uwanja wa Benjamin Mkapa kufungiwa kwa muda kupisha ukarakati na mabosi wa Msimbazi…

Read More

TPDC, ZPDC ZAENDELEA KUSHIRIKIANA UENDELEZAJI SEKTA YA GESI NCHINI

…………….. Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) mwezi Februari, 2022 liliingia makubaliano ya ushirikiano na Shirika la Maendeleo ya Petroli Zanzibar (ZPDC) ambapo kupitia ushirikiano huo masuala mbalimbali yamekuwa yakifanyika kuiendeleza Sekta  ikiwemo kubadilishana ujuzi na utaalam. Mhe. Kapinga ameyasema hayo leo Aprili 14,…

Read More

Mvua yasababisha adha Dar, wananchi wakwama

Dar. Mvua zilizoanza kunyesha usiku wa kumakia leo Jumatatu, Aprili 14, 2025 maeneo mbalimbali ikiwemo jijini Dar es Salaam imesababisha adha kwa wakazi wa Jiji hilo. Mvua hizo zinanyesha maeneo mbalimbali ya jiji hilo ambalo ni kitovu cha uchumi wa Tanzania na kusababisha adha, baadhi ya makazi kuzungukwa na maji, njia za kupita kwenye makazi…

Read More