SERIKALI YATENGA BILIONI 96.8 KUPELEKA MIRADI YA UMEME VIJIJINI.

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Naibu Waziri,Wizara ya Nishati Judith Kapinga amesema kuwa Serikali inafahamu changamoto za kukosa umeme zilizopo katika Vijiji na Vitongoji ndio maana inaweka juhudi kubwa katika kuhakikisha ifikapo 2030 Vitingoji vyote viwe vimepata umeme. Naibu Waziri Kapinga ameyasema hayo Jijini Dodoma wilayani Chamwino katika Hafla ya Uzinduzi wa Mradi wa kusambaza…

Read More

Mwili wa Nyamo-Hanga kuzikwa Jumatano Bunda

Dar es Salaam. Mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Gissima Nyamo-Hanga utazikwa nyumbani kwao Mingungani, Bunda mkoani Mara Jumatano ya Aprili 16, 2025. Nyamo-Hanga na dereva wake, Muhajiri Haule walifariki dunia saa 7:30 usiku wa kuamkia jana kufuatia ajali ya gari iliyotokea wilayani Bunda mkoani Mara. Kwa mujibu wa Kamanda…

Read More

Mwili wa Nyamo-Hanga kuzikwa Alhamis Bunda

Dar es Salaam. Mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Gissima Nyamo-Hanga utazikwa nyumbani kwao Mingungani, Bunda mkoani Mara Jumatano ya Aprili 16, 2025. Nyamo-Hanga na dereva wake, Muhajiri Haule walifariki dunia saa 7:30 usiku wa kuamkia jana kufuatia ajali ya gari iliyotokea wilayani Bunda mkoani Mara. Kwa mujibu wa Kamanda…

Read More

Sichone aisikilizia Ligi Kuu Zambia

MSHAMBULIAJI wa Trident FC inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza Zambia, Mourice Sichone amesema tayari ameanza kupokea ofa kutoka Ligi Kuu nchini humo. Akizungumza na Mwanaspoti, Sichone alisema huenda akaondoka kikosini hapo mwishoni mwa msimu huu kama atakubaliana na ofa alizopata. Aliongeza, kiwango bora alichoonyesha kwenye msimu wake wa kwanza kikosini hapo kimemfanya aitwe kwenye kikosi…

Read More

Kunihira, Mukandasyenga kwenye vita ya kiatu

WASHAMBULIAJI Magret Kunihira wa Ceasiaa Queens na Jeaninne Mukandayyenga wanaingia kwenye vita ya ufungaji ambayo hadi sasa inaoenakana kuwania na Stumai Abdallah wa JKT Queens mwenye mabao 26 na Jentrix Shikangwa wa Simba mwenye 19. Kunihira ambaye anaitumikia Ceasiaa amefunga mabao manane huku Mukandaysenga akiwa na mabao saba kwenye mechi sita alizocheza. Hii ni mara…

Read More

SULUHISHO LA MIGOGORO YA NDOA NI HILI HAPA!

 Suluhisho la migogoro ya ndoa ni hili By ngilishonews.com Hakuna jambo huwaacha watoto njia panda kama ugomvi baina ya wazazi wao maana kuna muda hulazimika kuchagua upande, migogoro ndani ya ndoa imeacha majeraha makubwa sana katika nyoyo za watoto. Jina langu ni Farida, mimi na mume wangu tulianza kugombana pindi nilipojifungua mtoto wangu wa tatu,…

Read More

Gets Program inazitaka pointi tisa WPL

KATIKA kuhakikisha inasalia Ligi Kuu, Gets Program imeanza mipango ya kuzisaka pointi tisa zilizosalia, ingawa kocha wa timu hiyo, Aristides Ngowi amesema haitakuwa kazi rahisi. Gets iko nafasi ya nane kwenye msimamo wa ligi na ilikuwa miongoni mwa timu mbili zilizoanza vibaya kwenye mechi 15 imeshinda mbili, sare nne na kupoteza tisa ikiruhusu mabao 39….

Read More