Nestory Irankunda mambo magumu | Mwanaspoti

MAMBO yanaoneka kuwa magumu kwa winga mwenye asili ya Tanzania, Nestory Irankunda anayekipiga Grasshopper Club Zurich ya Uswisi kwa mkopo akitokea Bayern Munich. Winga huyo ambaye kwa sasa ana uraia wa Australia, alijiunga na mabingwa hao wa zamani wa Ujerumani akitokea Adelaide United ya Ujerumani aliyoitumikia kwenye timu za vijana za U-19, 21. Irankunda alishindwa…

Read More

Vita ya Ligi Bara yahamia Shirikisho

LIGI Kuu Bara imesimama kwa muda, lakini hiyo haina maana uhondo wa soka haupo kwani leo kwenye viwanja viwili tofauti, kuna vita nzito ya timu za ligi hizo zitakazoonyeshana kazi katika mechi za robo fainali za michuano ya Kombe la Shirikisho (FA). Maafande wa JKT Tanzania waliopo nafasi ya sita katika msimamo wa Ligi Kuu,…

Read More

Kapombe, Zimbwe JR wabebeshwa msalaba Simba

BAADA ya kuizamisha Mbeya City katika mechi ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho la ndani, Simba kwa sasa inaingia kwenye maandalizi ya kuikabili Stellenbosch ya Afrika Kusini katika nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, huku mabeki wakongwe wa pembeni wakiachwa msala. Mabeki hao ni nahodha Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ a.k.a Zimbwe Jr. na Shomary…

Read More

Aucho aitikisa Yanga, kocha Hamdi afunguka

YANGA inajiandaa kushuka uwanjani Jumanne hii kuvaana na Stand United, huku kocha wa timu hiyo akifichua kuwa, kukosekana kwa kiungo wa kati Khalid Aucho, kwa muda wa wiki tatu ndani ya kikosi hicho kunampasua kichwa, ingawa amejipanga na jeshi lake kumalizia mechi zilizosalia kwa kishindo. Aucho anayeitumikia Yanga kwa msimu wa tatu sasa, amekuwa mhimili…

Read More

Bosi Wa CRDB Bank Foundation Ang’ara Tuzo Nigeria – Global Publishers

Last updated Apr 14, 2025 Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Bank Foundation, Tully Mwambapa Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Bank Foundation, Tully Mwambapa, ametajwa kuwa Kiongozi anayeongoza kwa uwezeshaji Barani Afrika katika hafla ya tuzo za kutambua wanawake mashuhuri Afrika (African Iconic Women Recognition Awards). Katika tukio hilo ambalo la kihistoria kwa Tanzania ambapo mbali ya…

Read More

WANACHAMA 50 ACT Wazalendo LINDI WATIMUKIA CCM.

Zaidi ya wanachama 50 kutoka katika chama cha ACT Wazalendo wamejiunga na chama Cha mapinduzi ( CCM) Wanachama hao wakiongozwa na aliyewahi kuwa diwani na mwenyekiti kupitia tiketi ya ACT Wazalendo, Said Kitunguli wamepokelewa na Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, CPA Amos Makalla wakati akizungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara…

Read More