Wabunge waibua hoja tano bajeti Dk Biteko

Dodoma. Mambo matano yamejitokeza wakati wabunge wakijadili makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Nishati kwa mwaka 2025/26, miongoni mwao ni pamoja na suala la kukatika mara kwa mara kwa umeme. Mambo mengine ni fidia kwa wanaopisha miradi ya umeme, mitungi ya gesi kutupwa baada ya kutumika, fedha za CSR za bwawa la Mwalimu…

Read More

Kesi ya ‘Bwana harusi’ yachukua sura mpya

Dar es Salaam. Serikali imeeleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kuwa imepokea barua kutoka kwa mlalamikaji katika kesi ya wizi wa gari inayomkabili ‘Bwana harusi’ Vicent Masawe (36), kuwa anaomba kuiondoa kesi hiyo mahakamani hapo. Mlalamikaji katika kesi hiyo, Sylivester Masawe amewasilisha ombi hilo, akiomba shauri la kesi hiyo liondolewe mahakamani hapo. Masawe anakabiliwa na…

Read More

JKU inautaka ubingwa Muungano | Mwanaspoti

JKU kutoka Unguja imetinga fainali ya Kombe la Muungano baada ya kuifunga Azam mabao 2-1, huku kocha wa timu hiyo, Haji Ali Nuhu akisema wanataka kubeba ubingwa. Akizungumza na Mwanaspoti, kocha huyo alisema ushindi dhidi ya Azam ni mkakati waliojiwekea ili kutinga fainali. Alisema ingawa mchezo unaofuata wa fainali utakuwa mgumu zaidi, lakini kutokana na…

Read More

Huyu ndiye Rosalynn Mkurugenzi mpya wa Mwananchi

Dar es Salaam. Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), ambayo ni kampuni tanzu ya Nation Media Group (NMG), imetangaza uteuzi wa Rosalynn Mndolwa-Mworia kuwa Mkurugenzi Mtendaji mpya wa MCL. Rosalynn mwenye uzoefu wa miaka 23 wa kuziongoza sekta za mawasiliano ya simu, usafirishaji, huduma za kifedha na bima, anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Bakari Machumu…

Read More

Nini kinachoisumbua Azam FC? | Mwanaspoti

NI msimu ambao mashabiki wa Azam FC wanataka umalizike haraka. Kuanzia mapema katika Ngao ya Jamii hadi sasa ligi ikielekea ukingoni, kila tumaini limekuwa kama jua la asubuhi lililofunikwa na mawingu. Msimu wa 2024/25 umegeuka kuwa ‘mwaka wa shetani’ kwa matajiri wa Chamazi waliowekeza mamilioni, lakini wameambulia patupu kila shindano. Katika fainali ya Ngao ya…

Read More

Simba V RS Berkane yanukia Kwa Mkapa

Kama agizo la serikali litafanyiwa kazi kwa wakati, mechi ya marudiano ya hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baina ya Simba na RS Berkane itapigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Mei 25, 2025. Hiyo ni baada ya naibu waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo, Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’ kumuagiza mkandarasi anayesimamia ukarabati…

Read More