Hekima, busara nguzo muhimu kwa makuzi ya mtoto

Katika ulimwengu wa leo ambao umejaa vishawishi, mashinikizo na changamoto nyingi, hakuna zawadi bora ambayo mzazi anaweza kumpatia mtoto wake  zaidi ya kumjengea msingi wa hekima na busara. Tunaambiwa kuwa hili ni jukumu lisiloisha na linahitaji subira, mawasiliano ya mara kwa mara na mfano wa kuigwa baina ya mzazi na mwanawe. Na tunaambiwa kwa kuwafundisha…

Read More

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco afariki dunia

Mara. Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Usambazaji Umeme Tanzania (Tanesco), Gissima Nyamo-Hanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Aprili 13, 2025 katika ajali iliyotokea wilayani Bunda mkoani Mara. Mkuu wa Mkoa wa Mara, Evans Mtambi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, ambapo amefafanua kuwa  limetokea kati ya saa 6 hadi 7 usiku wa kuamkia leo. “Ni…

Read More

Hatima ya Chadema kutoshiriki uchaguzi

Dar/Mikoani. Suala linalogonga vichwa na kutawala mijadala ya kisiasa kwa sasa ni tangazo la Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) hakitashiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba na nyingine ndogo zitakazofanyika ndani ya miaka mitano, baada ya kutosaini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi. Kati ya vyama 19 vyenye usajili…

Read More

Simba yachonga njia | Mwanaspoti

KUNA habari zinazoweza kuendeleza furaha ya mashabiki wa Simba baada ya raha waliyonayo ya kuitoa Al Masry ya Misri na kutinga nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika.  Habari hiyo njema inahusu mambo mawili ambayo ni klabu hiyo kuanza haraka mchakato wa kuandaa utaratibu wa kusafirisha idadi kubwa ya mashabiki kwenda Durban, Afrika Kusini ambako…

Read More

Simba, Mbeya City kukumbushia 2023

KIKOSI cha Simba kinashuka katika Uwanja wa KMC Complex jijini Dar es Salaam kusaka tiketi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) dhidi ya Mbeya City inayoshiriki Ligi ya Championship mechi inayopigwa kuanzia saa 10:00 jioni. Simba inaingia katika mchezo huo ikiwa na morali baada ya kutinga nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika…

Read More

Dube: Kuna jambo linakuja | Mwanaspoti

TANGU mshambuliaji Prince Dube aanze kucheza Ligi Kuu Bara 2020/21, amesema huu wa sasa ndio anaamini kwamba una tofauti katika maisha yake ya soka, huku akidai kuna kitu cha zaidi kinakuja. Dube amefafanua kauli yake kwamba ilikuwa kawaida kuumia kila msimu tofauti na sasa ambapo anafurahia kucheza mechi nyingi bila majeraha. Mshambuliaji huyo aliyetua Yanga…

Read More

Kizazi kinachukua msimamo – maswala ya ulimwengu

Mikopo: Umit Bektas/Reuters kupitia picha za Gallo Maoni na ines m pousadela (Montevideo, Uruguay) Ijumaa, Aprili 11, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Montevideo, Uruguay, Aprili 11 (IPS) – Katika moyo wa Istanbul, mabadiliko ya kushangaza yanaendelea. Kile kilichoanza kama maandamano ya wanafunzi kufuatia kukamatwa kwa kisiasa kwa Meya Ekrem İmamoğlu kumetokea ndani ya uhamasishaji…

Read More