AfCFTA IHAKIKISHE INAAKISI MATARAJIO YA WANANCHI NA MALENGO YA AJENDA 2063 YA AFRIKA
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara,Dkt Hashil Abdallah,akizungumza wakati akifungua Mkutano wa 20 wa Makatibu Wakuu wa Biashara wa Mkataba wa eneo Huru la Biashara Barani Afrika (AfCFTA) ambao ulikuwa na lengo la kutathimini utekelezaji wa Mkataba huo unaofanyika jijini Kinshasa,Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. … Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na…