Chadema kwenye mtego mwingine kanuni za maadili
Dar es Salaam. Tusaini au tusisaini? ndilo swali lisilo na jawabu ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa sasa, kuhusu ushiriki wake katika kujadili na kusaini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani kesho Aprili 12, 2025. Kanuni za maadili zimeandaliwa kwa mujibu wa kifungu cha 162 (1), (2) na…