Waajiri wakumbushwa kujiweka tayari mabadiliko ya teknolojia

Dar es Salaam. Serikali imewakumbusha waajiri nchini kujiweka tayari kupokea mabadiliko ya teknolojia huku wakichukua tahadhari dhidi ya athari zake hasi zinazoweza kutokea ikiwemo upotevu wa baadhi ya fursa za ajira. Wito huo umetolewa Aprili 28, 2025 na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete wakati akiwaongoza…

Read More

Serikali yakusanya mabilioni biashara ya mtandao

Dodoma. Kwa kipindi cha Julai 2024 hadi Machi 2025, Serikali imekusanya kiasi cha Sh192.78 bilioni kutoka kwenye biashara mtandao ambayo inajumuisha michezo ya kubahatisha  ya mtandaoni. Takwimu hizo zimetolewa leo Jumanne Aprili 29, 2025 na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Exaud Kigahe ambaye ameliambia Bunge Serikali inatambua biashara mtandao. Kigahe alikuwa akijibu swali la…

Read More

Gazans wanakabiliwa na shida ya njaa kama blockade ya misaada inakaribia miezi miwili – maswala ya ulimwengu

Wakala wote wa UN ambao husaidia wakimbizi wa Palestina, Unrwana mpango wa chakula duniani (WFP) Ripoti kwamba hisa za chakula sasa zimechoka, hata kama vifaa vya msaada wa kuokoa maisha kwenye misalaba ya mpaka ikisubiri kuletwa. Wanadamu wanaendelea kuonya kwamba njaa inaenea na kuongezeka kwa nguvu, huku kukiwa na blockage, vikwazo vya kupata, shughuli za…

Read More

Kardinali Becciu ajiondoa rasmi kwenye uchaguzi wa Papa mpya

Vatican. Mwadhama Kardinali Giovanni Angelo Becciu wa Sardegna hatashiriki katika mkutano wa uchaguzi wa Papa mpya (Conclave) unaotarajiwa kuanza Jumatano, Mei 7, 2025, huko Vatican. Kardinali Becciu ametangaza uamuzi huo kwa kuthibitisha kwamba licha ya kuamini hana hatia yoyote, ameamua kutii utashi wa Baba Mtakatifu Francis kwa ajili ya masilahi ya Kanisa. “Nikiwa na moyo…

Read More

Waasisi chama cha siasa IPP wamburuza Msajili kortini

Dar es Salaam. Waasisi wa chama cha siasa cha Independent Peoples Party (IPP), wamefungua shauri Mahakama Kuu dhidi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kwa kushindwa kukipa usajili wa muda chama hicho kwa miaka miwili sasa. Maombi hayo ya mwaka 2025 yaliyofunguliwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania, masjala ndogo ya Dar es Salaam, yamepangwa kutajwa…

Read More

Mambo haya yatakujenga kuwa mwanafunzi bora

Uwezo wa kufanya jambo kubwa au dogo ni matokeo ya fikra inayoanzia ndani. Kama alivyowahi kusema Henry Ford: “Ukiamini kuwa unaweza au ukiamini kuwa hauwezi uko sahihi.” Suala la msingi ni je,unaamini kuwa unaweza kupata unachotaka. Je, unaamini kuwa una akili kama walivyo wanafunzi wenye akili? Je, unaamini kuwa wewe ni miongoni mwa wanafunzi bora?…

Read More

Tamaa zinavyoponza mabinti vyuoni | Mwananchi

Dar es Salaam. Wakati ikiaminika kwamba vyuo vikuu ndiko wanakopatikana wasomi na watu wanaojitambua, imebainika kuwa vijana wengi wa sasa katika ngazi hiyo ya elimu ya juu hawawajibiki vile inavyostahili hali inayosababisha wasiutimie vyema uwanja huo wa maarifa. Malezi duni yanatajwa kusababisha hali hii ambapo si wazazi, jamii wala chuo kinachowajibika kusimamia malezi ya vijana…

Read More

Dar City si haba Rwanda

TIMU ya APR ya Rwanda imeifunga Dar City kwa pointi 81-68 katika nusu fainali ya mashindano ya Kumbukumbu ya Mauaji ya Kimbari yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Petit Gymnasium nchini Rwanda. Katika mchezo huo Aliou Diarra alifunga pointi 18 akifuatiwa na mchezaji mwenzake, Axel Mpayo aliyefunga 12. Kwa upande wa Dar City alikuwa ni Deng Dheu…

Read More