Mahakama yatoa uamuzi kesi ya uraia wa mastaa Singida BS

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania imeitupa kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na Wakili Peter Madeleka kupinga uamuzi wa Serikali kuwapa uraia wa Tanzania nyota watatu wa timu ya Singida Black Stars.  Nyota hao ni Emmanuel Keyekeh, raia wa Ghana; Josephat Bada (Ivory Coast) na Muhamed Camara (Guinea). Uamuzi wa kuitupa kesi hiyo ulitolewa na Jaji Evaristo Longopa…

Read More

Chadema yataja mkakati wake mpya

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema operesheni ya kunadi ajenda ya No reforms, no election kwa wananchi itaendelea kama kawaida. Chadema imesema lengo ni kufikisha ujumbe wa kuishinikiza Serikali kufanya mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi. Imesema kwa sasa inapitia upya ratiba ya mchakato kupitia kikao cha sekretarieti kinachoketi leo Ijumaa Aprili…

Read More

Taoussi: Yanga ilituzidi ubora | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Rachid Taoussi amesema kuandaa kikosi ili kuikabili Yanga sio kazi rahisi, huku akidai kuwa wapinzani wao walikuwa bora zaidi juzi ndio maana walishinda mabao 2-1 katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar. Taoussi alisema hayo muda mfupi baada ya kupokea kichapo hicho kilichozidi kuiweka…

Read More

KIKWETE AMFIKISHIA ABIY UJUMBE MAALUM WA RAIS SAMIA

****** Rais Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete amewasilisha ujumbe Maalum wa Rais wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa Waziri Mkuu wa Ethiopia, Dkt. Abiy Ahmed. Ujumbe huo umewasilishwa Ikuku jijini Addis Ababa April 11, 2025. Mhe. Kikwete pia aliwasilisha Salamu za Rais Samia ambazo zilisisitiza umuhimu wa kuimarisha uhusiono wa kidiplomasia kati…

Read More

Mwandishi wa habari aamriwa kumlipa DED Sh2 bilioni

Mwanza. Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza imemwamuru mwandishi wa habari na mtangazaji, Alloyce Nyanda ‘Mtozi’ kumlipa aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza, Aaron Kagurumjuli Sh2 bilioni kama fidia kwa kumdhalilisha kwa njia ya mtandao. Hukumu hiyo imesomwa leo Ijumaa Aprili 11, 2025, saa tatu asubuhi na Hakimu Mkazi Mwandamizi wa mahakama hiyo, Boniventure Lema. Wakati…

Read More

Sababu Matano kutoonekana Fountain Gate

KUTOONEKANA kwa Kocha Robert Matano kwenye benchi la ufundi la Fountain Gate katika mechi mbili zilizopita za Ligi Kuu Bara, kumeibua maneno mengi zikimuhusisha na kutimuliwa kwake baada ya kutokuwa na matokeo mazuri. Hata hivyo, uongozi wa klabu hiyo yenye maskani yake mkoani Manyara umesema sababu za kutokuwepo kwa kocha huyo ni kutokana na ajali…

Read More

Siku ya Kuondoka na Mshindo ni Leo

IJUMAA ya leo imekuja kibabe sana na wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet ambapo nafasi ya wewe kukusanya mpunga wa maana ipo. Mechi kibao zipo uwanjani hivyo tengeneza jamvi lako la ushindi hapa. Bashiri mechi ya Ujerumani, BUNDESLIGA leo ambapo kutakuwa na mchezo mmoja Wolfsburg atamleta kwake RB Leipzig ambapo tofauti yao ni pointi 12. Mara…

Read More

Aziz KI ahesabu siku Yanga

SUALA la kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz KI kuendelea kuwapo ndani ya kikosi hicho ni jambo la muda tu kuanzia sasa kutokana na matajiri wa Kiarabu kujipanga kumng’oa Jangwani. Aziz Ki anayemiliki mabao saba na asisti saba katika Ligi Kuu msimu huu inaelezwa anamenyemelewa na klabu mbili kubwa kutoka Morocco zilizoanza mazungumzo na mabosi…

Read More