Barabara 17 Kariakoo, Upanga kusukwa kwa lami

Dar es Salaam. Wakati utekelezaji wa mkataba wa awali wa ujenzi wa barabara kupitia awamu ya pili ya  Mradi wa Uendelezaji Jiji la Dar es Salaam (DMDP II) ukiwa hatua ya ununuzi ya vifaa, Ofisi ya Rais Tamisemi imeingia makubaliano mapya yatakayohusisha ujenzi wa barabara 17 za Upanga na Kariakoo, zenye urefu wa kilometa 7.38….

Read More

TANZANA – UKRAINE KUONGEZA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Ukraine zimekubaliana kuongeza ushirikiano katika sekta mbalimbali za kiuchumi na kijamii ikiwemo kilimo, biashara na uwekezaji, viwanda, utalii, elimu na afya kwa maslahi ya pande zote mbili. Makubaliano hayo yamefikiwa kwenye mazungumzo baina ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud…

Read More

Vita vya biashara Marekani, China kuitikisa dunia

Dar es Salaam. Vita vya kibiashara kati ya Marekani na China vinaendelea kushika kasi, huku mataifa hayo mawili makubwa kiuchumi duniani yakizidi kutunishiana misuli kwa kupandishiana ushuru, hali inayoibua wasiwasi mkubwa katika masoko ya kimataifa. Marekani, chini ya uongozi wa Rais Donald Trump, imeongeza ushuru kwa bidhaa za China hadi kufikia asilimia 145. Hii ni…

Read More

Rais Dkt. Samia Akutana na Kuzungumza na Mmiliki wa Klabu ya Mpira wa Miguu ya Manchester United ya Uingereza Sir Jim Ratcliffe, Ikulu Jijini Dar es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mmiliki wa Klabu ya Mpira wa Miguu ya Manchester United ya Uingereza Sir Jim Ratcliffe, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 11 Aprili, 2025. Katika mazungumzo yao Rais Dkt. Samia amemshukuru Sir Jim Ratcliffe kupitia Taasisi yake ya Six…

Read More

Zanzibar Afya Week yazinduliwa Dar es Salaam

Waziri wa Afya Zanzibar,  Nassor Ahmed Mazrui, akizungumza wakati wa uzunduzi wa wiki ya Afya Zanzibar (Zanzibar Afya Week 2025) jijini Dar es Salaam leo Aprili 11, 2025. Maadhimisho ya Wiki ya Afya yanatarijiwa kuanza Mei 4 na kumalizika Mei 10,2025. Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar, Mzee Mngereza akizungumza wakati wa uzunduzi wa wiki…

Read More

TRA KUIMARISHA UTOAJI WA ELIMU KWA MLIPA KODI

Na. Saidina Msangi, WF, Dodoma. Serikali imesema Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekuwa ikitoa elimu ya kodi kwa njia mbalimbali kwa makundi yote ya walipakodi pamoja na Vikundi vya Wanawake Wajasiriamali. Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Janeth…

Read More