Ndoa za utotoni zinavyozima ndoto za mabinti Meatu-1
Meatu. Katika mizunguko yangu ndani ya Kijiji cha Nyanza wilayani Meatu, mkoani Simiyu mbele ya nyumba iliyojengwa kwa matofali yasiyochomwa na kuezekwa kwa nyasi, namuona binti aliyeketi juu ya ndoo ya bluu. Nakaribishwa na binti, ambaye nilimuuliza baba na mama wapo? Akajibu yupo baba, ndipo nilimuomba amuite. Alifanya hivyo, kisha yeye akabaki ndani. Nilipohoji sababu…