RAIS SAMIA KUZUNDUA BENKI YA USHIRIKA APRILI 28, 2025
-WANUNUZI WA MAZAO WASIOKUWA NA AKAUNTI YA BENKI YA USHIRIKA KUNYIMWA LESENI. Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Serikali imewataka wanunuzi wa mazao makubwa ya kimkakati,kama Korosho,Tumbaku na Mikunde kufungua akaunti katika benki ya Ushirika ambayo italenga kuhudumia wakulima na wafanyabiashara wa mazao. Hatua hiyo imekuja,kutokana na serikali kutaka kuisaidia sekta ya kilimo,ili wakulima waweze kupata…