TANESCO YAOMBA RADHI KWA UKOSEFU WA UMEME APRILI 12 KUTOKANA NA MATENGENEZO KITUO CHA MAKAMBAKO
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limewaomba radhi wateja wake wa mikoa ya Ruvuma, Songwe, Mbeya, Njombe na Wilaya ya Masasi, kufuatia kukosekana kwa huduma ya umeme kesho Jumamosi ya Aprili 12, 2025, Katizo hilo litaanza saa 2:00 asubuhi hadi saa 11:00 jioni. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano na Huduma kwa Wateja…