Sababu wanawake wa Kiluguru kuwa wababe, jasiri
Morogoro. Waluguru ni kabila kuu katika Mkoa wa Morogoro. Wanawake wa Kiluguru wametofautiana kulingana na mazingira ya maeneo wanakotoka, ambapo wanaotoka Mgeta wilayani Mvomero wanaonekana kuwa wababe, wakakamavu, wenye nguvu na misimamo kuliko wanawake wa Kiluguru kutoka maeneo mengine. Zipo sababu zinazotajwa kuwa chanzo cha wanawake wa Mgeta kuwa sifa hizo, mojawapo ikiwa ni kuwa…