Beki JKT Tanzania afichua siri
BEKI wa JKT Tanzania, Wilson Nangu anavutiwa na aina ya ukabaji wa beki wa Simba, Abdulrazak Hamza na Dickson Job wa Yanga. Nangu amesema jinsi mabeki hao wanaocheza pia Taifa Stars wanavyoonyesha ukomavu wa maamuzi pindi timu wanazozitumikia zikishambuliwa, inamfanya kujifunza mambo mengi sana. Beki huyo aliyefunga mabao mawili katika Ligi Kuu msimu huu, amesema…