Utata kifo cha mfanyabiashara akiwa mapumziko na mpenzi wake

Australia. Familia ya mfanyabiashara raia wa Uingereza aliyefariki akiwa mapumzikoni na mpenzi wake wa miaka 25, inataka majibu ya kina kuhusu kifo chake, wakisema hawana ufahamu wowote kuhusu alikozikwa wala chanzo halisi cha kifo chake. Allen McKenna, 47, alizirai ghafla na kufariki katika Jiji la Casablanca Februari,2025, akiwa na mpenzi wake wa Morocco, Majda Mjaoual….

Read More

'Na sayansi, tunaweza kulisha ulimwengu wa bilioni 9.7 ifikapo 2050' – maswala ya ulimwengu

Profesa Lindiwe Majole Sibanda, Mwenyekiti wa Ushirikiano wa Cgiar. Mikopo: Busani Bafana/IPS na Busani Bafana (Nairobi) Alhamisi, Aprili 10, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NAIROBI, Aprili 10 (IPS) – Mwanasayansi wa wanyama Lindiwe Majole Sibanda alikua kile bibi yake aliomba kwa dhati kwa kuwa alikuwa akikua kwenye shamba kusini mwa Zimbabwe. Majole Sibanda, profesa…

Read More

Kamanda Mwakyoma aagwa Kilimanjaro, kuzikwa kesho Mbeya

Moshi. Mwili wa Kamanda mstaafu wa polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Absalom Mwakyoma umeagwa leo Alhamisi, Aprili 10, 2025 nyumbani kwake mjini Moshi na kusafirishwa kwenda Mbeya kwa maziko. Mwakyoma alifariki dunia Aprili 7, 2025 katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC) alikopelekwa kwa matibabu na anatarajiwa kuzikwa kesho, Aprili 11, 2025, mkoani Mbeya….

Read More