TLS: Kila hoja inayopigiwa kelele uchaguzi mkuu ina mantiki
Dar es Salaam. Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimeibeba ajenda ya uchaguzi mkuu mwaka huu ikieleza kila hoja inayopigiwa kelele na pande mbili zinazokinzana kuhusu uchaguzi huo ina mantiki. TLS imekwenda mbali zaidi na kueleza kuwakutanisha wadau wote wa uchaguzi ili kuwa na makubaliano ya pamoja, kabla ya kwenda kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba…