Dabi ya Dar es salaam, usiyempenda kaja

Inapokuja mechi kubwa ya dabi yoyote duniani kuna vitu vingi ambavyo hutazamwa katika kuuzungumzia ukubwa wa mchezo husika. Uhamisho wenye utata, matokeo yenye kuumiza na hata mechi zilizojaa mikasa ya ubabe na utemi. Na hivi ndivyo inavyokuwa kwa Dabi ya Dar es Salaam kati ya Azam FC na Yanga.

Read More

TANZANIA YAANDAA MKUTANO WA KANDA KUIMARISHA UMOJA NA MAFANIKIO KATIKA HUDUMA ZA MAGONJWA YA DAMU

Mkutano wa afya wa kikanda uliofanyika wiki hii jijini Dar es Salaam uliwaleta pamoja wataalamu, maafisa wa afya, na wawakilishi wa wagonjwa kutoka Kenya, Uganda, Rwanda, na Tanzania ili kutathmini mafanikio katika huduma za magonjwa ya damu na kuimarisha mshikamano wa kikanda. Tukio hili la siku mbili lilihitimisha mradi wa pamoja uliolenga kuboresha huduma kwa…

Read More

Majaliwa asisitiza mambo manne akiangazia uchaguzi mkuu

Dar es Salaam. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasilisha bungeni mapitio ya utekelezaji wa shughuli za Serikali na mwelekeo wa mwaka ujao wa fedha, akitilia mkazo mambo manne, ukiwemo uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu. Masuala mengine aliyoyazungumzia ni kukamilika kwa maandalizi ya Dira ya Taifa, kuimarishwa kwa ukusanyaji wa mapato huku akisisitiza wananchi wajiandikishe kupiga…

Read More

Cannavaro afutwa kazi Croatia | Mwanaspoti

NAHODHA wa zamani wa Italia na mshindi wa Kombe la Dunia, Fabio Cannavaro amefutwa kazi katika klabu ya Dinamo Zagreb ikiwa ni miezi mitatu tu tangu aajiriwe, taarifa ya mabingwa hao wa Croatia imesema. Cannavaro aliyeiongoza Italia kubeba ubingwa Kombe la Dunia 2006 na kushinda Tuzo ya Ballon d’Or, aliteuliwa na Dinamo mwishoni mwa Desemba…

Read More

Haya hapa majiji, miji misafi zaidi Tanzania

Dar es Salaam. Halmashauri ya jiji la Tanga, imetajwa kuongoza kwa usafi kwa kupata asilimia 83.2 ya alama zote. Ikishindanishwa na halmashauri sita za majiji zilizopo nchini. Hayo yamebainishwa kwenye kilele cha Wiki ya Afya, wakati yakisomwa matokeo ya mashindano ya afya na usafi wa mazingira kwa kila kundi yaliyopatikana kutokana na uhakiki uliotumia orodha…

Read More

Teknolojia ya kibenki itakavyowasaidia wafanyabiashara wadogo, kati

Dar es Salaam. Wakati Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ikiendelea kuhamasisha taasisi za kifedha kuja na bunifu mbalimbali zitakazowawezesha watu kukopa kirahisi na kuwaepusha na mikopo kausha damu, Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imeitikia wito huo. Hiyo ni baada ya benki hiyo kusaini makubaliano na teknolojia bunifu ya Ramani.io itakayowasaidia wafanyabiashara kupata mikopo kirahisi, ili…

Read More

USHIRIKIANO WA TCB NA RAMANI KUIMARISHA BIASHARA ZA NDANI

**** Benki ya Biashara Tanzania (TCB) kwa kushirikiana na Ramani.io wamezindua rasmi ushirikiano unaolenga kuimarisha biashara za ndani na kuongeza ujumuishaji wa kifedha nchini wakilenga kuleta mageuzi makubwa katika sekta ya biashara, ikiwemo kuwawezesha wafanyabiashara wadogo na wa kati (SMEs), wajasiriamali, pamoja na biashara ndogondogo. Akizungumza leo jijini Dar es salaam wakati wa kutia hati…

Read More