Ngorongoro Heroes yaanza msako wa Afcon U20

TIMU ya taifa ya Tanzania ya vijana wa chini ya miaka 20, Ngorongoro Heroes kesho Jumatano itaanza kampeni za kusaka ubingwa kucheza fainali za Kombe ka Mataifa ya Afrika (AFCON) dhidi ya Afrika Kusini ikiwa Kundi A. Fainali za AFCON U20 zinaendelea kufanyika Misri ikishirikisha timu za nchi 13 zilizopangwa katika makundi matatu, na zimeanza…

Read More

SERIKALI ITAFANYIA KAZI HARAKA MAAZIMIO YA KONGAMANO LA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI- MSIGWA.

Wadau na Waandishi wa Habari wakifuatilia uwasilishaji wa mada na majadiliano katika siku ya kwanza ya Kongamano la Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari lililofanyika leo tarehe 28 Aprili, 2025 jijini Arusha. Na Mwandishi Wetu. Serikali imesema itahakikisha inafanyia kazi mapendekezo yote yatakayotolewa kwenye maazimio ya pamoja ya Waandishi wa Habari baada…

Read More

Mafanikio Simba CAFCC yaivuruga Bodi ya Ligi, TFF

SIMBA kimerejea nchini jana kutoka Afrika Kusini ilikoenda kurudiana na Stellenbosch na kufuzu fainali za Kombe la Shirikisho Afrika, lakini kitendo cha Wekundu hao kutinga hatua hiyo kimeleta majanga  baada ya mabosi wa Bodi ya Ligi kujifungia ili kuipangua ratiba tena. Simba ilitoka suluhu na Stellenbosch katika mechi hiyo ya juzi, lakini ushindi wa bao…

Read More

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AONGOZA VIONGOZI MBALIMBALI KUTEMBELEA BANDA ATCL MAONESHO YA ACI AFRICA

  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) Mhandisi Peter Ulanga wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa 73 wa Baraza la Kimataifa la Viwanja vya Ndege (ACI Africa) unaofanyika jijini Arusha. Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Prof. Godius W. Kahyarara akimsikiliza Rais wa ACI  Africa…

Read More

Mgogoro wa haki za binadamu za Mexico-maswala ya ulimwengu

Mikopo: Raquel Cunha/Reuters kupitia picha za Gallo Maoni na ines m pousadela (Montevideo, Uruguay) Jumatatu, Aprili 28, 2025 Huduma ya waandishi wa habari MONTEVIDEO, Uruguay, Aprili 28 (IPS) – Walipata viatu, mamia yao, wakatawanyika kwenye sakafu ya uchafu ya kambi ya kuangamiza katika Jimbo la Jalisco. Viatu hivi vilivyoachwa, ambavyo vilikuwa vya mtoto wa mtu,…

Read More